Ningependa nikuambie kuwa ushauri utaupata baada ya ww mwenyewe kujua unapenda nn, maana yake sisi tutakusaidia kukupa mawili matatu juu ya hiyo programme na namna ya kujiandaa nayo.
Kila programme huwa ni nzuri inategemeana na mahali na uwezo wa mtu kiakili na kifedha pia. Kuna programme zingine ukisoma ngazi ya degree inahitaji usome na master haraka sasa kama kwenu mambo sio mazuri utaishia kuhangaika tu.
N.B chagua programme kulingana na uwezo wako lakini pia na kuipenda hiyo programme usichague kwakuwa unaufahulu mzuri basi naweza nikachaguliwa programme Fulani jitathmini ww kwanza na kichwa chako lakini angalia na status ya nchi yako na maslahi yako ya baadaye kupitia hiyo programme