Wadau asanteni kwa maoni na ushauri, nimefanikiwa kuitwa kwa mchujo mwingine round ya 3, baada ya ule wa test ya english, oral interview now natakiwa kwenda kwa excel tests , pls wenye utaalamu na excel na any advice pls karibu sana
asanten
hey na mm nmeitwa kwny english test naomba unipe hint test yao inakuaje ...please
thnks in adnce
Sent from my iPhone using JamiiForums