Elsie Eyakuze amlipua Rais Magufuli

Magu akiwa kwenye kutafuta sifa na kick za kijinga huwa haoni aibu. Hilo la Babu Seya nimeharibu kabisa taswira ya kitaifa katika vita dhidi ya ubakaji.

Watu waliotiwa hatiani na mahakama kwa makosa ya ubakaji sio watu wa kujipendekeza nao hadharani.

Those people can easy spoil your image.
Mimi sina tatizo na wao kupata msamaha, kwasababu mamlaka ya rais katika kutoa msamaha hayahojiwi!

Tatizo langu ni pale wabakaji na walawiti(kwa mujibu wa mahakama zetu tukufu) wanapopata msamaha wa rais na kuonekana kama mashujaa wa vita ya pili ya dunia, kukaribishwa ikulu pamoja na kupata heshima kubwa kutoka kwa viongozi wa serikali kama Naibu waziri..

Tumefika mahali kweli wabakaji waliosamehewa adhabu(sio kufutiwa kosa) wanaonekana kama mashujaa waliotoka vitani?

Tunakataza waliopata mimba wasirejee shuleni bila kujali walipataje hizo mimba,wakati huo huo tunawapatia wabakaji heshima ya kutukuka!
 
Hivi mahakama haikutumia hata ushahidi wa DNA ili kujua kama kweli walibaka au walibambikiziwa kesi? Kama ni kweli walibaka jamaa yetu kajikoroga kwa kutafuta sifa za kijinga!
Mkuu, mimi ningefurahi sana kama kuna kitu kimejificha hapo watu tungewekwa wazi.

Kinyuma na hapo basi hao ni wabakaji wazuri tu kwa mujibu wa mahakama zetu TUKUFU!
 
Kwa hiyo aliyetoa ahadi hajazungukwa na wenye akili.

..Raisi ana access na watu wengi, na resources nyingi, kuliko mtu yeyote nchini.

..kwa hiyo, YES, mgombea Lowassa hakuwa na idadi kubwa ya wasomi nyuma yake, kulinganisha na idadi ya wasomi wanafanya kazi ya kumshauri na kumuelekeza Raisi Magufuli.

..kwa mfano mdogo: wizara ya Sheria Waziri na Katibu Mkuu, ni Ma-Profesa wa Sheria, na Wakuu Wastaafu wa Kitivo cha sheria.
 
Kwani nyie wakitoka au wakiendelea kuishi mtaani wamewanyima hewa? Mbona mnawashwa sana!
 
Magu akiwa kwenye kutafuta sifa na kick za kijinga huwa haoni aibu. Hilo la Babu Seya nimeharibu kabisa taswira ya kitaifa katika vita dhidi ya ubakaji.

Watu waliotiwa hatiani na mahakama kwa makosa ya ubakaji sio watu wa kujipendekeza nao hadharani.

Those people can easy spoil your image.
Kwani Lowassa si alisema atawatoa pia na mkawa mnashangilia kwenye kampeni zake?
 
Lakini yule jamaa yenu fisadi alipotoa ahadi ya kuwatoa lupango mliona sawa!!
Si alikuwa anawatega wajinga na alijua kabisa watakurupuka kama ilivyotokea. Asingeweza kufanya huu ujinga. Kwani ukiahidi kitu lazima utekeleze? Mbona ahadi za maana hazijatekelezwa lakini za hovyo kabisa mmetekeleza japokuwa haikuwa sehemu ya ahadi?
 
Sijui mshauri wa Magufuli katika suala hili ni nani. Prof.Kabudi, Dkt. Nchemba, Dkt. Mwakyembe, Mh. Ummy Mwalimu, Prof. Ndalichako walikuwa wapi mpaka Rais akafanya vile?
-------


[HASHTAG]#WeToo[/HASHTAG]: They pardoned convicted child abusers and showed them off to the world
WEDNESDAY JANUARY 17 2018


This is a story I have been sitting on for a long time. Back in the day when childhood was simpler, the kids on my street would play together and visit each others’ houses with great freedom.

This was when communal upbringing was still a done thing in middle-class Dar es Salaam, a beautiful experience that is denied to many of the young’uns I see coming up now. My goodness, now I have made myself feel old. Where was I?

We used to play quite safely all over the neighbourhood... or so we thought. One day one of us went missing. The street was rife with whispering adults who would raise her name and immediately go quiet if they spotted us trying to eavesdrop on their conversation. I didn’t know what rape meant, precisely, but I did know enough that it was appalling. Had it happened to her?

What followed still haunts me. Our playmate was confined at home for some days to recover while her family figured out what to do. Her rapist was “dealt with” — I never found out what that was. All requests to go visit my friend — she was hurt, after all — were denied. Any attempts to ask adults what happened was met with stern rejection.

I then started to overhear insidious comments about “but maybe she let him? — An absurd notion as we were not even teens and she was an innocent (even kids know who is going to start exploring first. Not her). And then she really disappeared. They sent her to the village to “recover with her grandmother.” To this day I can’t get over the implication that she was soiled goods.

Child molestation. Victim blaming. A closing of the ranks and erasure of the incident by literally getting rid of someone. And the patriarchy soldiered on, damn it to hell.

So when the controversy over the pardoning of Babu Seya and his son from prison for a child rape conviction happened, I did what some trauma victims do. I completely tuned out. Like, this isn’t happening. I love Hollywood film, I love Tanzanian music, for mercy’s sake, please don’t take it all away from me...

I don’t want to deal with the way this administration has capped its tacit support of violence against women by highlighting the pardoning of two convicted child abusers. Of all the things!

I don’t want to deal with the way that public discussion around this issue has focused on yelling that President The Fifth is doing exactly what his main political opponent said he would do if he got into power (let’s not go down that rabbit hole right now). That’s...not the important bit, people.

There is an elephant in the room and folks who are pointing out that this is Sending The Wrong Message are decent folk who care for kids. What elephant, you ask?

I certainly don’t want to have to think about my friend, and how decades later I am still simmering with anger and anxiety and confusion over it all. And I don’t want to express my primal fear of living in a society that used to feel slightly safer for women but where current bullying, from the top down, is encouraging the worst of the worst in us.

Because dealing with it means admitting how visceral it actually is to be reminded that you are a feminist for the sake of survival. Not because it was an intellectual choice, but because the world is literally trying to harm you in a most intimate way. All. The. Time. And creatively, too.

Denial is a river in Egypt and we’re all just fine, right? This is East Africa, where a Me Too movement would be, what’s the term? Ah, yes, “culturally inappropriate.”

It’s not like that sticky-looking man Simon Lokodo ever said that he would understand a man raping a girl child, but not a man having consensual sex with a fellow adult male is it?

But we are Africans respecting our elders and our cultures. We are not monsters engaged in a society-wide systemic suppression of a sorely-needed conversation about an ugly topic. Are we?

Are we? I definitely don’t want to confront that. There’s nothing like not-talking about something to make it all go away... like my friend, who went to recover in the village with her grandmother.

Elsie Eyakuze is a consultant and blogger for The Mikocheni Report. E-mail: elsieeyakuze@gmail.com

Source: They pardoned convicted child abusers and showed them off

Yes, sometimes it is good to give the devil its right.
But in this particular case we must do justice to the decision taken by Mr president. It is good to go into the historical context of the matter. It was and is still is, the public opinion that the court has not done justice to these victims. If you are honest you should have considered this factor, and that is why the release of these prisoners got much public support. To many hii ilikuwa kesi ya kubambikizwa tu and the person who did and the motive are known to public. This is what is believed anyway, however the victim might have been truly child abuser but this is not known to the public. Magufuli knows the truth by virtue of his position and by pardoning them he cemented and confirmed the public opinion. And if that is the case cant you do the same?
What I dont support is publicity and political motive attached to them by government and party officials. Such reaction might be due to these actions lacking wisdom
 
Mtaishia kurukia matukio kama waandishi wa habari na wasimulizi wa hadithi na vituko. Kama Rais Magufuli anafanya makosa, ya Kikatiba au la, mahakama zipo au msubiri 2020 kumwondoa kwa kura.

MNAOMPINGA TUMEWACHOKA NA UVUVUZELA WENU
Unamtetea Rais anayekula na kupiga picha Ikulu na walawiti wa watoto?
 
Yes, sometimes it is good to give the devil its right.
But in this particular case we must do justice to the decision taken by Mr president. It is good to go into the historical context of the matter. It was and is still is, the public opinion that the court has not done justice to these victims. If you are honest you should have considered this factor, and that is why the release of these prisoners got much public support. To many hii ilikuwa kesi ya kubambikizwa tu and the person who did and the motive are known to public. This is what is believed anyway, however the victim might have been truly child abuser but this is not known to the public. Magufuli knows the truth by virtue of his position and by pardoning them he cemented and confirmed the public opinion. And if that is the case cant you do the same?
What I dont support is publicity and political motive attached to them by government and party officials. Such reaction might be due to these actions lacking wisdom

..ni kweli some in the public believe Babu Seya and Papii are innocent.

..but the courts, all the way to the Court of Referal, found Babu Seya and Papii guilty.

..sasa kama Raisi, kwa nafasi aliyonayo, ana ushahidi kwamba Babu Seya na Papii hawakutenda makosa, alitakiwa atufahamishe wananchi wake.

..Pia kama wameonewa basi serekali inatakiwa iwalipe FIDIA kwa "dhuluma" waliyofanyiwa.

..Kwasababu hayo niliyoyaeleza hayakufanyika, basi Raisi anastahili lawama kwa kuwaachia wabakaji watoto, na kuwapa mapokezi ya kishujaa.

..Ni kitendo cha aibu sana wabakaji hawa kupokelewa kwa "ZULIA JEKUNDU" na viongozi mbalimbali wa serekali. Kama taifa tunaonekana hatuko serious ktk kupiga vita makosa ya unajisi na ubakaji dhidi ya watoto.
 
binafsi naamini kila kitu hupangwa na MUNGU mwanadamu hutumika tu.
hii kesi ya hawa watu ukikutana na wanaotoa ushahidi kuwa walifanya utakubaliana nao na ukikutana na watu wanaosema wamesingiziwa pia utakubaliana nao vyovyote vile tukubali kila mtu anabahati yake na kwanafasi kama yake sio rahisi kumlidhisha kila mtu.
wako wangapi wananajisi watoto na kwenye jamii yetu tunawajua na kesi zinaishi kwa majadiliano na polisi kuhusishwa kwa nafasi kidogo sana.
hebu tukubali hili limeisha tupange mengine.
 
..ni kweli some in the public believe Babu Seya and Papii are innocent.

..but the courts, all the way to the Court of Referal, found Babu Seya and Papii guilty.

..sasa kama Raisi, kwa nafasi aliyonayo, ana ushahidi kwamba Babu Seya na Papii hawakutenda makosa, alitakiwa atufahamishe wananchi wake.

..Pia kama wameonewa basi serekali inatakiwa iwalipe FIDIA kwa "dhuluma" waliyofanyiwa.

..Kwasababu hayo niliyoyaeleza hayakufanyika, basi Raisi anastahili lawama kwa kuwaachia wabakaji watoto, na kuwapa mapokezi ya kishujaa.

..Ni kitendo cha aibu sana wabakaji hawa kupokelewa kwa "ZULIA JEKUNDU" na viongozi mbalimbali wa serekali. Kama taifa tunaonekana hatuko serious ktk kupiga vita makosa ya unajisi na ubakaji dhidi ya watoto.

Sehemu ya kazi ya raisi ni kutenda haki.

Iwapo hawana kosa na raisi ana uhakika na hilo hapaswi kueleza wanachi. Ni kuingilia mamlaka mengine. Inawezekena kabisa kuwa kimahakama ushahidi umekaa vizuri, hivyo mahakama lazima ikufunge tu jinsi ushahidi ulivyotolewa. Siyo lazima rushwa iende mahakamani bali pia ni mashahidi wa uongo walionunuliwa. Jamii ndio inayojua ukweli wa matendo ya wahusika, lakini ina watetea.

Fidia is always a relative statment, wapi ina paswa na wapi haipaswi nk

"Ni kitendo cha aibu sana wabakaji hawa kupokelewa kwa "ZULIA JEKUNDU" na viongozi mbalimbali wa serekali. Kama taifa tunaonekana hatuko serious ktk kupiga vita makosa ya unajisi na ubakaji dhidi ya watoto." Haya ni madhara ya kufanya cheap publicity, naweza kusema ni shortsightedness, kweli ni aibu. lakini bado tendo alilofanya Rais kwa kuwa toa ni jema.
 
Back
Top Bottom