Elimu za viongozi wa nchi

Elimu za viongozi wa nchi

gyration

Member
Joined
Dec 19, 2014
Posts
84
Reaction score
26
Kutokana na watu wenye elimu nchini kwetu kuzidi kuingezeka nashauri kwa diwani elimu iwe angalau Form six, mbunge angalau degree moja na Rais angalau Masters. Mnaionaje hii?
 
Elimu si kigezo cha kuongoza vizuri.

Kwani Kikwetee hakuwa msomi??? Kafanya nini zaidi ya kuchekacheka tu????
 
Kutokana na watu wenye elimu nchini kwetu kuzidi kuingezeka nashauri kwa diwani elimu iwe angalau Form six, mbunge angalau degree moja na Rais angalau Masters. Mnaionaje hii?
Kwa madiwani, bado ni Elimu ndogo sana!, inatakiwa fom six yenye skills za uchambuzi wamikataba, planning, n.k
 
Elimu si kigezo cha kuongoza vizuri.

Kwani Kikwetee hakuwa msomi??? Kafanya nini zaidi ya kuchekacheka tu????

Well said Mkuu,Keep it up.Elimu Siyo kigezo cha Uongozi bali Ni Namna ya Uwakilishi na Usimamizi wa rasilimali zetu.
 
uraisi inatakiwa awe na degree 3 kama "lemutuz" na awe professa.
 
Elimu si kigezo cha kuongoza vizuri.

Kwani Kikwetee hakuwa msomi??? Kafanya nini zaidi ya kuchekacheka tu????

Nakubaliana na ww Kishindo, lakini ikitokea ukamoata mwenye elimu na mwenye uwezo wa kuongoza inakuwa poa sana. Naamini asiekua na elimu bora ni rahisi mno kudanganyika.
 
Back
Top Bottom