Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
Hello JF,
i guess kwa sasa elimu inayotolewa Tanzania ime base sana kwenye vitu general....
Ndio maana inaibua wahitimu ambao hawawezi kujiajiri ......
Wangesoma kwa kutumia mazingira yetu, wageweza kujua jinsi ya kutumia fursa zilizopo katika mazingira yetu na kuzitumia
Mfano mimi huwa nadhani wale engineers wanaojenga madaraja yaananguka wakati wa mvua ni wamesoma vitu general, wangesoma vitu environment-specific wangeweka mafuriko kama challenge ya mazingira yetu,wangejenga madaraja yanayoweza kukabiliana na mvua/mafuriko....
Mimi ningependa kuona syllabus zinakua updated regularily ....
Wanafunzi/young persons wanakuja na creativity na ambitions,sio kuwakarilisha vitu ambavyo havitawasaidia....
Tungeweza kuwatumia hawa wasomi kwa manufaa ya jamiii...
Moja kuwafanya waweze ku explore opportunities ambazo zipo katika mazingira yanayotuzunguka mfano Kilimo
Unawapa case study inayohusu Kilimo, then unawaacha wakupe majibu...
Majibu unaweza kushangaa yanaweza ku postive,na kusaidia jamii
Pia sio opportunites tu, tuangalie na Challenges zinazotuface kama jamii kwa mfano Unemployment...
Kwa kifupi,wanafunzi wapewe Challenges and opportunities zinazotuface kama jamii..kisha watoe 'solutions'.......
Nimechanganya vitu kidogo.lol
Becky
i guess kwa sasa elimu inayotolewa Tanzania ime base sana kwenye vitu general....
Ndio maana inaibua wahitimu ambao hawawezi kujiajiri ......
Wangesoma kwa kutumia mazingira yetu, wageweza kujua jinsi ya kutumia fursa zilizopo katika mazingira yetu na kuzitumia
Mfano mimi huwa nadhani wale engineers wanaojenga madaraja yaananguka wakati wa mvua ni wamesoma vitu general, wangesoma vitu environment-specific wangeweka mafuriko kama challenge ya mazingira yetu,wangejenga madaraja yanayoweza kukabiliana na mvua/mafuriko....
Mimi ningependa kuona syllabus zinakua updated regularily ....
Wanafunzi/young persons wanakuja na creativity na ambitions,sio kuwakarilisha vitu ambavyo havitawasaidia....
Tungeweza kuwatumia hawa wasomi kwa manufaa ya jamiii...
Moja kuwafanya waweze ku explore opportunities ambazo zipo katika mazingira yanayotuzunguka mfano Kilimo
Unawapa case study inayohusu Kilimo, then unawaacha wakupe majibu...
Majibu unaweza kushangaa yanaweza ku postive,na kusaidia jamii
Pia sio opportunites tu, tuangalie na Challenges zinazotuface kama jamii kwa mfano Unemployment...
Kwa kifupi,wanafunzi wapewe Challenges and opportunities zinazotuface kama jamii..kisha watoe 'solutions'.......
Nimechanganya vitu kidogo.lol
Becky