Vijana wenzangu changes ni muhimu sana bila kuangalia huyu ni mbovu au lah tufanye mabadiliko tu mana kufanya hivo ni hali ujasiri .Jpm we proud of u but let us make changes to encourage more attention for other leaders #VivaEl
yaani mm nawaza nisilipe ada mapema nisikilize tamko siku ya kuapishwa kwake ili nijui hiyo elim bure tunaanza mwaka huu au mwakani...nisije nikalipa nikawapa kazi ya kunirudishia
yaani mm nawaza nisilipe ada mapema nisikilize tamko siku ya kuapishwa kwake ili nijui hiyo elim bure tunaanza mwaka huu au mwakani...nisije nikalipa nikawapa kazi ya kunirudishia