Elimu ya bure kuanzia january 2016

Elimu ya bure kuanzia january 2016

Timtim

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2008
Posts
608
Reaction score
125
Elimu ya bure kuanzia January 2016 ni kwa wanafunzi wote kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne ama ni kwa wanafunzi wapya watakaojiunga darasa la kwanza 2016?
 
Elimu ya bure kuanzia January 2016 ni kwa wanafunzi wote kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne ama ni kwa wanafunzi wapya watakaojiunga darasa la kwanza 2016?

Mh kumbe kwa wanafunzi wapya tu au. Na Sisi je tuliokosa ada tukaishia kidato cha pili . Haturuhusiwi kurisit buree
 
ITV-Habari ya saa mbili usiku imesema ni kwa wanafunzi wote kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne. Asante Rais wetu JPM kwa kuliweka wazi hili.
 
JPM Mimi namkubali sana,watu wanadhani majungu yanajenga! wanasahau kama hakuna kinachoshindikana chini y? jua,sio elimu tu,hata kumlipa mshahara kila mtanzania Pia inawezekana ni kujipanga tu n? kumtia moyo kiongozi wetu.
 
siyo elimu bure bali ada bure michango mingine palepale
Elimu ya bure kuanzia January 2016 ni kwa wanafunzi wote kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne ama ni kwa wanafunzi wapya watakaojiunga darasa la kwanza 2016?
 
JPM Mimi namkubali sana,watu wanadhani majungu yanajenga! wanasahau kama hakuna kinachoshindikana chini y? jua,sio elimu tu,hata kumlipa mshahara kila mtanzania Pia inawezekana ni kujipanga tu n? kumtia moyo kiongozi wetu.

sera ya elimu iliyopitishwa na bunge la mwezi wa nne waka huu,Miongoni mwa yaliyopitishwa ni pamoja na;

1:Elimu ya msingi kuwa ya lazima kwa kila mtoto wa Tanzania.

2:Elimu ya msingi/lazima kuwa ya kuanzia
chekechea-la 12

3:Elimu hiyo ya msingi/lazima,itolewe/ipatikane bila vikwazo ( k.m. ada) ktk shule zote za umma ili kumpa fursa kila mtoto wa kitanzania kujipatia maarifa yatakayomuwezesha kujisimamia mwenyewe.

Haya ni baadhi tu ya mengi yaliyopitishwa na bunge ktk sera hiyo ya elimu. Ninachomaanisha hapa nikwamba; swara la elimu ya msingi kuwa bure sio takwa au mapenzi ya mtu, bali ni sera/dira ya taifa iliyokwisha pitishwa na bunge tayari na kuzinduliwa na rais mstaafu J.M.Kikwete.

Shida hapa ni ule ugonjwa wetu watanzania tulionao wengi wa kupoteza kumbukumbu ya mambo mhimu/nyeti kwa mda mfupi, pia kutofatilia mambo muhimu na kupenda kuendeshwa na ushabiki zaidi.

Tunayo kazi kubwa sana sisi watanzania ya kuzuia kutodanganywa kirahisi hivi.
 
sera ya elimu iliyopitishwa na bunge la mwezi wa nne waka huu,Miongoni mwa yaliyopitishwa ni pamoja na;

1:Elimu ya msingi kuwa ya lazima kwa kila mtoto wa Tanzania.

2:Elimu ya msingi/lazima kuwa ya kuanzia
chekechea-la 12

3:Elimu hiyo ya msingi/lazima,itolewe/ipatikane bila vikwazo ( k.m. ada) ktk shule zote za umma ili kumpa fursa kila mtoto wa kitanzania kujipatia maarifa yatakayomuwezesha kujisimamia mwenyewe.

Haya ni baadhi tu ya mengi yaliyopitishwa na bunge ktk sera hiyo ya elimu. Ninachomaanisha hapa nikwamba; swara la elimu ya msingi kuwa bure sio takwa au mapenzi ya mtu, bali ni sera/dira ya taifa iliyokwisha pitishwa na bunge tayari na kuzinduliwa na rais mstaafu J.M.Kikwete.

Shida hapa ni ule ugonjwa wetu watanzania tulionao wengi wa kupoteza kumbukumbu ya mambo mhimu/nyeti kwa mda mfupi, pia kutofatilia mambo muhimu na kupenda kuendeshwa na ushabiki zaidi.

Tunayo kazi kubwa sana sisi watanzania ya kuzuia kutodanganywa kirahisi hivi.

Naona wengine wanashangilia km Mazuzu vile.
 
Elimu ya bure kuanzia January 2016 ni kwa wanafunzi wote kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne ama ni kwa wanafunzi wapya watakaojiunga darasa la kwanza 2016?

Lkn tujipange kwa mambo makubwa mawili; Moja ni kushuka kwa kiwango cha Elimu(Elimu itakuwa Tepetepe sana), Pili ni Kuongezeka kwa Kodi kwenye Bidhaa mbalimbali ili kufidia Ada iliyofutwa kwa hiyo tukubaliane na yote.
 
WATAKACHOFUTA NI ADA 20,000/= MICHANGO MINGNE
>TAALUMA
>ULINZI
>CHAKULA
>MASOMO YA ZIADA
>ADA YA MTIHANI (MOCK+NECTA)


NOTE: kitu chochote kikitolewa bure thamani yake hushuka mfano, hewa, maji vijijini,kwahiyo tutegemee elimu kushuka kiwango DIVISION FIVE KUONGEZEKA
 
Hv elimu bure huu ni uwaji wa elimu tanzania kabisa hata marekani pamoja nakuwa nakuwa na uchumi imara bado elimu inagharamiwa siungi mkono hili.
Nakupangia ada shule za binafsi hili nitatizo serikali boresha elimu katika shule zako ufaulu uwe juu mazingira safi ya shule automatic wazazi watapeleka watoto serikalini TUSIUWE USHINDANI TUKITARAJIA UBORA WA ELIMU YETU
 
Vipi kuhusu LOWASSA alivyosema ni bure mpaka chuo kikuu?
 
Last edited by a moderator:
Hv elimu bure huu ni uwaji wa elimu tanzania kabisa hata marekani pamoja nakuwa nakuwa na uchumi imara bado elimu inagharamiwa siungi mkono hili.
Nakupangia ada shule za binafsi hili nitatizo serikali boresha elimu katika shule zako ufaulu uwe juu mazingira safi ya shule automatic wazazi watapeleka watoto serikalini TUSIUWE USHINDANI TUKITARAJIA UBORA WA ELIMU YETU

mkuu unamiliki shule?
nilipata kusikia wamiliki wengi wa shule hizi za bei kali wanafanya elimu kama biashara kwani wao walisoma karibu na bure miaka hiyo, je kuna ukweli wowote katika hayo?
 
mkuu unamiliki shule?
Nilipata kusikia wamiliki wengi wa shule hizi za bei kali wanafanya elimu kama biashara kwani wao walisoma karibu na bure miaka hiyo, je kuna ukweli wowote katika hayo?

bure ni shule za serikali siyo binafsi.
 
Nadhani kile kipindi cha watanzania kusomesha watoto kenya uganda kitarudi tena soon maana uhanda na kenya walikua wanasomesha watoto wao bongo nimesoma na wakenya coz private zetu ziliganya mageuzi makubwa sasa seminali zitapata tena sifa zake za kua bora
 
bure ni shule za serikali siyo binafsi.

mkuu nilitaka kujua uhusika wake na hizo shule, ili nujue kama zina umuhimu tena iwapo anatoa hoja isiyoeleweka kisha anaipinga mwenyewe.
kama ni mwalimu labda awe wa chekechea vinginevyo vijana wetu wanapotea bora warudi kata.
 
Back
Top Bottom