Elimu na maarifa ya ziada

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,924
Reaction score
831,405
Haya si ya KIADA bali ni ya ZIADA.. Ya KIADA huwa kwenye mitaala na miongozo rasmi ya serikali kwenye ufundishaji mashuleni na vyuoni
Ya ZIADA sio rasmi na walimu na wakufunzi hawana shuruti ya kuyafunza bali kwa utashi wao na kwa nia ya kuwaongezea wanafunzi wao maarifa wanaweza kuwafundisha kama masomo ya ziada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…