Elimu juu ya pepo/mapepo

Marko 16:17 na ishara hizi zitaandamana na wale wanaoamini, kwa jina langu watatoa pepo na watasema kwa lugha mpya.


Ndugu yangu Mshana Jr kuna vitu umegusia ila vingine huvifahamu.
Ysu alitoa pepo kwa watu wengi sana ukisoma zile injili utaona sema nimekosa mistari ningekuwekea hapa.
Pepo wapo na wanatoka kwa uweza wa Yesu Kristo Mwana wa MUNGU.
Uwepo wa manabii feki ni kweli hili limewekwa wazi kwenye injili pia kwa hiyo mkuu upo sahihi kabisa.
Naconnect dot na uzi wako huu Elimu juu ya pepo/mapepo - JamiiForums

 
Hakika siwezi kufahamu kila kitu na nikisema nafahamu vyote itabidi nipelekwe kupimwa bulangata
 
Hakika siwezi kufahamu kila kitu na nikisema nafahamu vyote itabidi nipelekwe kupimwa bulangata
Ni kweli mkuu dunia ina mengi sana... but ni vyema kusaidiana namna hii.
Yule akija ni hili akijazia hapa na mwingine akijazia hakika tutafika.
 
Mathayo 10:1-15 Tunaona Yesu anawapa uweoz mitume wake wakutoa pepo, kufufua wafu, kuponywa magonjwa na matatizo mbalimbali. Kwa hiyo kwa jina la Yesu yote yanawezekana... ila tusisahau manabii wauongo tunaambiwa watatenda miujiza mikubwa na yakushangaza ila Yesu hatawatambua siku ya kiama.
 
Hayo atakua kapewa na nabii feki mwenyewe kamrushia then kayatoa, usicheze na roho waovu ndugu.
 
Ni biblia gani hiyo yenye marko 16:17
 
Mzee mmoja alishafariki kwa sasa, Munga Tehenani alikuwa akiandika sana juu ya mada hizi. Na kwa kweli alikuwa vizuri. Mshana ana vitu ila........
 
Mzee mmoja alishafariki kwa sasa, Munga Tehenani alikuwa akiandika sana juu ya mada hizi. Na kwa kweli alikuwa vizuri. Mshana ana vitu ila........
Siyo mbaya ukishare nasi hizo mada, lengo humu ni kulimika sio kushindana.
 

Kwa tafsiri yako ya mapepo. Ni kuwa mapepo ni majini.
 
Mzee mmoja alishafariki kwa sasa, Munga Tehenani alikuwa akiandika sana juu ya mada hizi. Na kwa kweli alikuwa vizuri. Mshana ana vitu ila........
Malizia tu usijali.... Kumbuka Munga alikuwa anaandika kwenye gazeti mimi naandika mtandaoni kwenye mijadala
 
Mshana Jr pepo kumtoka mtu kwa wepesi inategemeana na Nguvu za Mungu alizonazo mtu husika, tunaona Mtume Paulo kivuli chake tu kilitumia kuwatoa pepo, nguo zake tu watu walipona, dhana ya pepo kutoka ndani ya dk 2 napingana nayo
 
Mshana Jr pepo kumtoka mtu kwa wepesi inategemeana na Nguvu za Mungu alizonazo mtu husika, tunaona Mtume Paulo kivuli chake tu kilitumia kuwatoa pepo, nguo zake tu watu walipona, dhana ya pepo kutoka ndani ya dk 2 napingana nayo
Uko sahihi kabisa ila hata hivyo mapepo ya siku hizi dhaifu sana
 
Nadhani kuna tofauti kwakuwa kiasili majini nafikiri yameumbwa kwa moto

Hapo sasa ndio utaona miujiza ya uumbaji.

Majini wana maumnile yao maalumu kwayo yanajitofautisha na viumbe wengine,lakin majini wamepewa uwezo wa kujibadilisha badilisha kimaumbile na yamepewa uwezo wa kumuingilia mtu na kusoma nae kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu.

Majini yamepewa umri mrefu wa kuishi,watu wanao jishughulisha ma kazi ya kuyatoa wanasema wamewahi kuwadiriki mpaka majini yaliyokuwepo zama za nabii Suleyman. Hii ni ziada.

Kaka hapa nahitimisha kwa kusema hivi sababu hizo umezitaja ni sifa anuai za majini waovu na wewe unasema sio kwa sababu ya asili ya malighafi zilizo tumika kuumbiwa kwayo.

Sasa nina swali la msingi hapa. Hayo mapepo yameumbwa kwa malighafi gani mpaka useme hayo mapepo si majini ?
 
Hapo sasa, kwa mfano kuna rafiki yangu, alipata ajali ya gari, alijigonga kichwani.
Baada ya hapo alipoteza fahamu, hata baada ya kurudisha fahamu, amekua na tabia hizo wanazoziita mwezi mchanga, sasa huyu nae watasema ana pepo wa aina gani.
 
Hapo sasa, kwa mfano kuna rafiki yangu, alipata ajali ya gari, alijigonga kichwani.
Baada ya hapo alipoteza fahamu, hata baada ya kurudisha fahamu, amekua na tabia hizo wanazoziita mwezi mchanga, sasa huyu nae watasema ana pepo wa aina gani.
Hahaha pepo la magari labda, nchi hii wakishindwa kudiagnose ugonjwa eti unakua umerogwa, au unamapepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…