jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,155
- 29,677
Kwa muda sasa tunaona wanojiita wapinzani au wajuawaji wa sheria eti tutapata hasara au Rais amekosea.
Hoja ya msingi iliyopelekea Rais kuteua tume ya kufuatilia ni kipi tunachopata kwenye mkataba uliopo wa madini ni kutaka kujua kama tunapata kile ambacho kwa kilichosemwa na mkataba ?
Hadidu za rejea kwa tume ziko wazi kabisa na tume imetoa ripoti ya wazi kabisa.
Sasa kuna wanasiasa uchwara wanataka kutuondoa kwenye hoja ya msingi.
Sijaona sehemu Tume ikijibu au kuagizwa kuwa mkataba ni halali au sio halali ?au mkataba ni wa kipuuzi au la...pengine tume ya pili inaweza kujibu hili!!
leo hii tumeelezwa kuhusu wizi unaotokea ndani ya mkataba ambao unaweza kuwa ni wa kinyonyaji au la.
Hoja ya msingi ni je katika mkataba huo huo tunaoushupalia je tumeibiwa au la.
Inawezekana kabisa by the time mkataba unaingiwa kulikuwa na maslahi ya kuweza kutuneemesha...lakini wakati wa utekekezaji mwekezaji akatumia rushwa na ujanjaujanja kutuibia.
Kwa hiyo hoja ya kujadili ni wizi ndani ya mkataba.
Prof Mruma ametufumbua macho kwamba tunaibiwa...tusikubali mwanavarangati aliyesomeshwa na kodi zetu na kupewa rushwa na wawekezaji kutudanganya.
Twende step by step!Tutulize mshono..tujadili wizi ndani ya mkataba halafu ndio tutajadili ubovu wa mkataba(tume ya kisheria itatuambia)
Tutamuelewa tu Mh.Rais!
Hoja ya msingi iliyopelekea Rais kuteua tume ya kufuatilia ni kipi tunachopata kwenye mkataba uliopo wa madini ni kutaka kujua kama tunapata kile ambacho kwa kilichosemwa na mkataba ?
Hadidu za rejea kwa tume ziko wazi kabisa na tume imetoa ripoti ya wazi kabisa.
Sasa kuna wanasiasa uchwara wanataka kutuondoa kwenye hoja ya msingi.
Sijaona sehemu Tume ikijibu au kuagizwa kuwa mkataba ni halali au sio halali ?au mkataba ni wa kipuuzi au la...pengine tume ya pili inaweza kujibu hili!!
leo hii tumeelezwa kuhusu wizi unaotokea ndani ya mkataba ambao unaweza kuwa ni wa kinyonyaji au la.
Hoja ya msingi ni je katika mkataba huo huo tunaoushupalia je tumeibiwa au la.
Inawezekana kabisa by the time mkataba unaingiwa kulikuwa na maslahi ya kuweza kutuneemesha...lakini wakati wa utekekezaji mwekezaji akatumia rushwa na ujanjaujanja kutuibia.
Kwa hiyo hoja ya kujadili ni wizi ndani ya mkataba.
Prof Mruma ametufumbua macho kwamba tunaibiwa...tusikubali mwanavarangati aliyesomeshwa na kodi zetu na kupewa rushwa na wawekezaji kutudanganya.
Twende step by step!Tutulize mshono..tujadili wizi ndani ya mkataba halafu ndio tutajadili ubovu wa mkataba(tume ya kisheria itatuambia)
Tutamuelewa tu Mh.Rais!