Elimu bure

Laiti ingekuwa viongozi wanasimamia hasa maendeleo ipasavyo sidhani kama kungekuwa na darasa kama hilo tena la watoto wadogo wanaopaswa kuwekewa miundombinu na mazingira rafiki na ya kuvutia .lmagine tangu nchi imepata uhuru zaidi ya miaka 50 iliyopita.

Tuna kazi ya ziada kwakweli
 
Hovi wazazi wao wameshindwa hata kuwachongea mabenchi ya mbao moja.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…