Elimu bure inawezekana; si muujiza.!

Elimu bure inawezekana; si muujiza.!

mwaka 2000 chadema walikuj na elimu bure mpka 4m4 ni hawa ccm walipinga vyakutosha kuhusu hili, mwaka huu wao hili limekuw ndio linawezkn

tuache siasa za kijinga kila kitu kinawezkn
 
kingne kwa wanafunz wachuo, serikali inawadai wanafunz zaidi ya trillion 26, na haina miundo mbinu ya kuzirecover, mfno kwa private sector, private employees, utagundua serikali inasomwsha bure, ila inashindwa kuadmit
 
Uk tuition fees kwa Un Pauni 12,000 = Tsh 42,000,000 kwa mwaka. Tanzania tuition fees Tsh. 3,000,000 kwa mwaka. K
 
CCM wao nikupinga kila kinachosemwa na Upinzani,maana hata elimu bure kwa s/msingi hadi shule za Upili CCM walipinga lakini leo hii ndio ajenda yao kuu kwenye Elimu.
 
hivi kuna watu bado wanaamini maneno ya Lowasa.!!!! Mlaghai anajaribu kuwadanganya wa Tanzania kwamba ataleta mabadiliko, wakati alikuwa madarakani kazi kupiga ma deal tu, leo hii anaongea tu maneno, shame on you Lowasa hatukupi kura zetu.

tumpe nani
 
mweh, kulonga mbali na kutenda mbali. Yaani kutaja tu majina ya madini mbona hata mm naweza tatizo uhalisia wa mambo. Sio kweli Lowasa hamna kitu anaweza, anachojaribu ni kucheza na ufikiriaji wa jujuu wa watu wengi Tanzania kama ww. Si ndo huyu Lowasa alienda Thailand akaja kutupiga eti anataka kutengeneza mvua!!! hafai hata chembe

Sema haumpi na sio hatumpi kura! Mbona mimi nitampa kura yangu Lowassa!
Ishu ya Wanafunzi kusoma bure mbona ni simple tu! Hata mie naweza isimamia kwa kutumia rasilimali moja tu ya madini ya Ulanga na wakasoma.....hapo sijagusia tanzanite, Almasi, I dhahabu, uranium, gas, nk
 
Lowasa alichosema alijua kinawezekana bila tatizo ccm wanasema haiwezekani kwasababu ya ufisadi wao.watanzania tumejaliwa utajiri mkubwa hatutakiwi kuwa masikin tumpe nafasi lowasa atutoe matongotongo tuone tulivyokua tunaibiwa kwa miaka mingi.tumewapa ccm miaka mingi hatujaona kitu tunawapa ukawa miaka mitano hii tuanze kuona tofauti.naaamin ukawa ikiingia hakuna mtanzania atakayekuja kuitaman ccm hata kwa rushwa zao
Wakati akiwa madarakani mbona ilishindikana. Leo kuna muujiza gani? Inatakiwa awe realistic. Ohh mara nitang'oa reli yote ijengwe upya!! kwali leo hii wakati wasomi ni wengi ni wakati wa kudanganywa kiasi hiki kweli? Na watu wanakubali kweli?
 
watanzania sisi ni watu wepesi sana kichwani na wewe ni mfano mzuri sana, mtoa hoja ametumia namba kujenga hoja wewe unatumia maneno matupu kupinga hoja. watanzania tufikie mahala tujifunze kufanya reseach na ku analyze fact ndio tutaweza kufika just because kiongozi fulani kasema haiwezekani that is not a FACT do your own research to collect fact and analyze it critically on your own hizi shule za kata shida sana
Hizo namba hawakuwa nazo zamani? ndio wanazijua leo? shame on them and us who believe them!!!
 
Back
Top Bottom