Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,121
- 1,981
Katika miezi ya hivi karibuni mbunge wa jimbo la Singida Magharibi kupitia CCM amewahi kuhoji uhalali wa elimu ya mkuu wa mkoa wa Dar, Paul Makonda, na akaenda mbali zaidi yupo tayari kufukuzwa uanachama lakini lazima elimu ya Makonda ieleweke"
Leo mh Rais na mwenyekiti wa CCM ametamka wazi hana shida na elimu ya Makonda hata kama hajui kusoma A.
Kwa kauli hii ya mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi, kauli ya mh mbunge imekufa, hivyo wananchi tunasubiri kauli yako kama unaendelea kumpinga Makonda au utaunga mkono rangi nyeusi na huku rangi ni nyeupe.
Je utachukua hatua gani kama hukubaliani na Rais?
Nakushauri ujizulu, mwanasiasa bora huachia ngazi ili kulinda heshima yake na kile anachokiamini
Leo mh Rais na mwenyekiti wa CCM ametamka wazi hana shida na elimu ya Makonda hata kama hajui kusoma A.
Kwa kauli hii ya mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi, kauli ya mh mbunge imekufa, hivyo wananchi tunasubiri kauli yako kama unaendelea kumpinga Makonda au utaunga mkono rangi nyeusi na huku rangi ni nyeupe.
Je utachukua hatua gani kama hukubaliani na Rais?
Nakushauri ujizulu, mwanasiasa bora huachia ngazi ili kulinda heshima yake na kile anachokiamini