thomaskitomari
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 472
- 204
Wakuu
Naomba kuuliza kati ya hv vyuo viwili vikongwe ni kipi kinatoa wahandisi wazuri wa umeme?
Naomba kuuliza kati ya hv vyuo viwili vikongwe ni kipi kinatoa wahandisi wazuri wa umeme?
Dit IPO juu Kinoma kwa electrical engineering na Udsm ikasome BT kwa telecomm udsm n safWakuu
Naomba kuuliza kati ya hv vyuo viwili vikongwe ni kipi kinatoa wahandisi wazuri wa umeme?
Hiyo kampuni inamilikiwa na Dr. Ramadhan Dau mkuu, sasa Dau tangia lini akawa injinia...Me namjua Engineer moja yule anaemiliki kampun ya Derm Electrics na Derm House Kijitonyama yeye amesoma UDSM anapata tenda nyingi za Serikali na za Binafsi
Mm nimesoma Dit tena electrical na ndo nawait selection na niliomba dit maana IPO vizurNadhani UDSM wanatoa zaidi BSC in Engineering ambayo ni 60% theory na 40% Practical ,na DIT ni B.Engneering 60% Practical na 40% theory.So DIT wako more practical oriented ,so ni kwako kuchagua uende wapi.Waliosoma huko watatujuza kama kuna kaukwleli hapo.
Nimesoma Arusha tech mkuu dip ndo wako fresh, napenda electrical yenyewe nikimaliza nikafanye mambo yangu,UD, DIT au Mbeya University of science and technology kwahyo course ni sawa tu siku hzi katika ufundishaji sioni tofauti ya Bsc na Beng, Bachelor's degree level hakuna practical ya maana chuoni unatakiwa kujiongeza mwwnyewe hasa wakati wa field,
Pia angalia Arusha Technical college kuna course mpya ya Electrical and Biomedical hii haikuwepo Tanzania kwahyo ukimaliza ni rahisi kuingia serikalini ku maintain vifaa vya kisasa vinavyotumiwa na Mahosptali ya Umma na binafsi.
Hiyo kampuni inamilikiwa na dr ramadhan dau mkuu,sasa dau tangia lini akawa injinia...
Wewe kama unabisha bisha mi sibishani,,,kampuni ya dau na wana makao makuu yao makumbusho zilipo ofisi za tigo...Hapana Mkuu owner ni Ridhuan Mringo fungua Website yako utamuona
Sasa we unabisha wakat owner namjua may be kama Dr Dau ana hisa paleWewe kama unabisha bisha mi sibishani,,,kampuni ya dau na wana makao makuu yao makumbusho zilipo ofisi za tigo...
Lakini kumbuka mtaala wa kufundishia udsm ulitoka DITchagua UDSM kama kichwa chako kiko vizuri... pale unafundishwa vitu vingi vya ukweli kwa muda mfupi sana. kama unakichwa cha panzi unaweza maliza mwaka wa 4 hata huelewi EE inahusu nini hasa. ila kama uko poa kichwani pale ndio kuna wakongwe na watata wa EE nchi hii.
lkn hyo bachelor ya electrical and biomedical engineering ni special kwa diploma holders tu WA biomedical engineering ambayo inatolewa ATC utaratibu WA form six kwenda moja kwa moja bado haupo na pia wanahitaj watu 25 tu mwaka huuUD, DIT au Mbeya University of science and technology kwahyo course ni sawa tu siku hzi katika ufundishaji sioni tofauti ya Bsc na Beng, Bachelor's degree level hakuna practical ya maana chuoni unatakiwa kujiongeza mwwnyewe hasa wakati wa field,
Pia angalia Arusha Technical college kuna course mpya ya Electrical and Biomedical hii haikuwepo Tanzania kwahyo ukimaliza ni rahisi kuingia serikalini ku maintain vifaa vya kisasa vinavyotumiwa na Mahosptali ya Umma na binafsi.