Mh. Edward Lowassa, Andrew Chenge na Rostam Aziz, sikilizeni ushauri wangu. Inawezekana mmeshapata ushauri mwingi na toka kwa watu mbali mbali. Mimi ninawashauri hivi, (kwa kuwa naamini mliyoyafanya/ au hamkufanya kwa ajili yenu tu, bali kwa ajili ya wenzenu):
Fedha za EPA kwenda Kagoda inasemwa ndizo zilimwezesha JK na ccm kushinda uchaguzi wa mwaka 2005 na kwa sehemu fedha hizo hizo (mtaji huo huo) umewarejesha JK na ccm madarakani katika uchaguzi wa 2010. Ushindi huo wa mara mbili (2005/2010) wa CCM ulichangiwa na juhudi zenu binafsi. KIMANTIKI, KILA MWANA CCM ''wana-magamba' ALIYESHANGILIA NA ANAYESHANGILIA USHINDI HUO NA KULINGA NA KUTEMBEA KIFUA MBELE ANASHANGILIA FAULO MLIYOFANYA, NA ANATAMBA NA KUJISIFU KWA UOVU HUO.
SASA, INAKUWAJE ZIGO LOTE LA LAWAMA MTUPIWE NINYI WATATU TU? MIPANGO YOTE YA USHINDI NA NIKAKATI YA KUSHINDA ILIFANYIKA NA CC YA CCM ILIYAPA BARAKA. HILO ZIGO LA KUCHAFULIWA NI LAO WOTE WANAOJIJUA NI WANA CCM.
Ninyi tubuni, hao wengine wabaki na zigo lao.
- Jitokezeni hadharani, semeni ukweli wenu wote, msimung'unye maneno. Kweli milele humweka mtu huru.
- Mtubu mbele za Mungu wa Mbinguni na mbele ya watanzania kwa yote yaliyosemwa na yanayosemwa juu yenu
Fedha za EPA kwenda Kagoda inasemwa ndizo zilimwezesha JK na ccm kushinda uchaguzi wa mwaka 2005 na kwa sehemu fedha hizo hizo (mtaji huo huo) umewarejesha JK na ccm madarakani katika uchaguzi wa 2010. Ushindi huo wa mara mbili (2005/2010) wa CCM ulichangiwa na juhudi zenu binafsi. KIMANTIKI, KILA MWANA CCM ''wana-magamba' ALIYESHANGILIA NA ANAYESHANGILIA USHINDI HUO NA KULINGA NA KUTEMBEA KIFUA MBELE ANASHANGILIA FAULO MLIYOFANYA, NA ANATAMBA NA KUJISIFU KWA UOVU HUO.
SASA, INAKUWAJE ZIGO LOTE LA LAWAMA MTUPIWE NINYI WATATU TU? MIPANGO YOTE YA USHINDI NA NIKAKATI YA KUSHINDA ILIFANYIKA NA CC YA CCM ILIYAPA BARAKA. HILO ZIGO LA KUCHAFULIWA NI LAO WOTE WANAOJIJUA NI WANA CCM.
Ninyi tubuni, hao wengine wabaki na zigo lao.