Eka 10 zinauzwa Ndani ya Dsm

Eka 10 zinauzwa Ndani ya Dsm

Adilinanduguze2

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
1,420
Reaction score
1,951
Kuna eneo, linafaa kwa ujenzi wa shule
Kigamboni, Chekeni Mwasonga, Linauzwa
Umbali =29km tokea ferry
Ukubwa = Takriban eka 10
Umeme = Nguzo 6 unafikia
Maendelezo= Kuna banda la vyumba 2 na frem ya duka
Kuna kisima cha maji matamu yanapatikana
Banda lishafanyiwa wiring
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom