Eka 10 Zinauzwa Kigamboni

Eka 10 Zinauzwa Kigamboni

Adilinanduguze2

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
1,420
Reaction score
1,951
Kuna eneo, linafaa kwa ujenzi wa shule
Kigamboni, Chekeni Mwasonga, Linauzwa
Umbali =29km tokea ferry
Ukubwa = Takriban eka 10
Umeme = Nguzo 6 unafikia
Maendelezo= Kuna banda la vyumba 2 na frem ya duka
Kuna kisima cha maji matamu yanapatikana
Banda lishafanyiwa wiring
 
Uweke na bei kabisa, ili tulio na hela ya maandazi tupite kando
 
Tumieni akili basi na nyie darasani mlienda kufanya nini? yani tuseme wote hamjaona kua kaweka bei Mil.8 kwa shamba zima? au mnataka tu mtu atokwe mapovu?

Mkuu mil.8 kwa eneo hilo mbona ndogo sana? huoni kama umepunjika? halafu unasema kabanda wakati nyumba ina msauzi kabisa hiyo halafu mil.8 kweli?

Mi na wasi wasi mkuu usikute unatuuzia bei rahisi hivyo kumbe kitu cha mshua wako kasafiri akirudi tuanze shikana mashati...Anyway mil.8 iko reasonable sema hilo sio banda ni Li jumba..kitu kama cha papaaa mobimbaa
 
Kwa heka moja moja kuna uwezekano wa huyo mwenye shamba kuhuza mana binafsi hekari zote hizo ni nyingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom