kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,052
- 7,057
Maandiko yanasema mkiuona mwezi ndio mtafungulia na Ramadhani itakua imeisha. Eid ya Jumamosi imetangazwa Alhamis, kivipi??
Swali fikirishi: Kwanini kuanza kwa mfungo hua hamtangazi kiholela mpaka muone mwezi ila Eid ya kufungulia mnataja tarehe hata kabla ya kuona mwezi?
Wazee teteeni uongo wa mtume wenu.
View attachment 2594480
Swali fikirishi: Kwanini kuanza kwa mfungo hua hamtangazi kiholela mpaka muone mwezi ila Eid ya kufungulia mnataja tarehe hata kabla ya kuona mwezi?
Wazee teteeni uongo wa mtume wenu.
View attachment 2594480