Hujamwelewa mtoa mada alafu unamtukana, ivi wewe ni msafi kiasi gani? je unajua kiwango anacholipwa? kuna watu mishahara ili afanye maemdeleo mpaka abane upande mwimgine, bado hajauguliwa na mtu anaemtegemea, sio uzinzi pekee unaofanya mtu kumaliza mapema. Kaka ukila mpaka ukamwaga ujue wapo wanaolala na njaa, usimuhukumu usiyemjua Kaka kwasabu ya hali yako yeye hakuoni Ila MwenyeMumgu, anakuona.
Pole kwa hisia zako.hakuna awezae kupuuza agizo la rais kuwa ifikapo 25/kila mwezi watumishi wawe wamepata chao.cha maana tarehe ikifika kachukue mshahara wako.agizo la rais haliwezi kupuuzwa ndugu.hofu ondoa.