ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Jina lake halisi ni Salim Njwete Salum, jina maarufu ni 'SCORPION' alijulikana zaidi kutokana na tukio la kumtoboa mtu macho. Alikamatwa na akahukumiwa kifungo. Sasa ametoka yupo mtaani na mengi yamezungumzwa kuhusu
yeye. Na bado wengine wanaendelea kumsema na kumuhukumu mtaani.
Najiuliza Kwa Tukio Alilo lifanya huyu Scorpion La Kumtoboa Mtu Macho na Kumpa Kilema cha Milele cha Kutokuona Yanayo endelea Duniani, Inakuaje ameachiwa huru?
Tuseme usalama wake utakuwaje huku mtaani? Mahakama na magereza Vitawaaminisha vipi wananchi kuwa huyu amestahili kutoka? Huku akimpa mtu Kilema Cha milele na muelekeo mbaya sana wa Maisha?
Lakini Pia EFM walitaka kumfanyia mahojiano leo, hii Radio Wamefikiria kweli?
Kumbe haya mambo yanawezekana unaweza fanya tukio Baya sanaa ukawa huru
yeye. Na bado wengine wanaendelea kumsema na kumuhukumu mtaani.
Najiuliza Kwa Tukio Alilo lifanya huyu Scorpion La Kumtoboa Mtu Macho na Kumpa Kilema cha Milele cha Kutokuona Yanayo endelea Duniani, Inakuaje ameachiwa huru?
Tuseme usalama wake utakuwaje huku mtaani? Mahakama na magereza Vitawaaminisha vipi wananchi kuwa huyu amestahili kutoka? Huku akimpa mtu Kilema Cha milele na muelekeo mbaya sana wa Maisha?
Lakini Pia EFM walitaka kumfanyia mahojiano leo, hii Radio Wamefikiria kweli?
Kumbe haya mambo yanawezekana unaweza fanya tukio Baya sanaa ukawa huru