Edwin Mtei asikitishwa na alaani kitendo cha Tundu Lissu kumtukana Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere

Status
Not open for further replies.
Dunia nzima kukashfu viongozi waasisi ni kujichimbia kaburi la kisiasa...

Kila siku tunasema chadema hawana hoja zaidi ya kutukana watu na kuwadhalilisha..

Unaona hata humu jinsi wanavyodhalilisha waislamu na wasiokuwa wachagga....

Tabia hii wameizoea na vibaya mpaka viongozi wao wanayo ngoja tuone itawafaidia nini....

We ndio mkabila mkubwa na hauna tofauti na CCM ambao badala ya kutoa point za kushawishi kuhusu serikali 2 wanapiga DOMO na kuzomea. Hivi umemhusishaje Tundu Lissu na wachagga hapa kama siyo akili zile zile za tope kama makambale wenzako maCCM
 
Kweli nashindwa nakupata shda kuelewa akili za watanzania zinafikiri nini. Sijaona mahali popote Lissu akimtusi Mwl Nyerere kama vichwa panzi ccm wanavyodai. Inamana Nyerere alikua hakosei mnataka kutuambia alichokua anafanya ktk uongozi wake vyote viko sawa kweli? Acheni tabia yakuabudu watu nyie watanzania na ccm yenu kama mnavofanya kwa nyerere. Lisu alichofanya nikueleza mapungufu yake kama binadam na sio kumtukana kama mnavyofikiri nyie vichwa panzi.
Hoja ndiyo hiyo!. Mzee Mtei amesikitishwa na ana laani kitendo cha Tundu Lissu kumtukana Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere.

Kwa hiyo una maana Mzee Mtei ni kichwa cha panzi?. Ina maana Mzee Mtei alikuwa hafamu kama Baba wa Taifa alikuwa hakosei?.

Hoja ameleta Mzee Mtei, badala ya kujibu hiyo hoja unakimbilia wachangiaji.

Are you fearing the revelation of CHADEMA shadow!.
 
Mzee Mtei, kama ni wewe kweli uliyeandika hii kitu basi hujatumia hekima hata kidogo. Kwani hamna vikao vya chama?

Je, tunaweza kujua ni kitu au sehemu gani ya hotuba iliyokuudhi?
 
We ndio mkabila mkubwa na hauna tofauti na CCM ambao badala ya kutoa point za kushawishi kuhusu serikali 2 wanapiga DOMO na kuzomea. Hivi umemhusishaje Tundu Lissu na wachagga hapa kama siyo akili zile zile za tope kama makambale wenzako maCCM

Teh teh mkuki unachomaa
 
Nilimsikiliza Mheshimiwa Tundu Lissu na nasikitika kwamba sikubaliani naye jinsi alivyoeleza shutma juu na dhidi ya Mwalimu Julius Nyerere, Baba na Muasisi wa Taifa letu.

Inajulikana na umma wa Watanzania, kwamba mimi binafsi, kama Waziri wa Fedha, nilitofautiana na Mwalimu, nikajiuzulu Uwaziri Decemba,1979, nikimwomba ateuwe Mtanzania mwingine atakayeshauri mambo ya Uchumi na Fedha. Lakini tuliendelea kuwasiliana kwa maelewano bila chuki, na hata aliniteuwa niwe Mwakilishi wa Tanzania na Afrika inayoongea Kiingereza katika IMF (Shirika la Fedha Duniani) chini ya miaka mitatu baadaye Novemba, 1972.

Nimekuwa na mawasiliano na maelewano mazuri sana na Mwalimu hata baada ya kuasisi CHADEMA, Julai 1992 na tulipokamilisha Katiba na Sera za Chadema, nilimtembelea Nyumbani kwake Butiama nikampa azisome ajionee jinsi tulivyonuia kuwahudumia Wananchi wetu. Hata siku moja siwezi kumtusi Muasisi wa Taifa letu. Iwe ni mwiko pia kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kumtusi Baba wa Taifa.

Mzee wangu Historia yako na mwalimu haina mahusiano na ukweli na uhalisia wa mambo ambayo Mhe.Lisu ameyatamka/kuyasema! Kwa hiyo ushawishi wa kumpamba kuwa alikuchagua hata baada ya kutofautiana hauondoi ukweli uliopo kuhusu jinsi JK Nyerere alivyoufinyanga Muungano!

Point muhimu hapa ni je alifanya hivyo kwa nia Njema??????.
Hata hivyo hiyo nia njema ilikwisha kosa mashiko ,maana miaka mingi ilipita toka amweke Aboud Jumbe Kizuizini ,maana kwa akili ya kawaida kama alikuwa na nia njema ya kuleta Umoja mpana zaidi angechukua hatua kubwa na pana ya kufanikisha Nchi Moja na Serikali moja full stop.



Mikakati na Sera sahihi ikiwa ni kutumia misingi ya Uchumi na Miundombinu tulionayo licha ya uhalisia dhoofu tulioridhi; tukiwaenzi walioijenga na kuturidhisha kwa unyofu wao.

Roho ya Julius Nyerere ilale mahala pema Peponi. Amen!

With all due respect to Hon. Tindu Lissu, this smacks BAD TASTE.


Edwin Mtei,

Founder Chairman of CHADEMA.

Ni ukweli uliohalisi kuwa Ukweli una Uma.

Inasikitisha Mzee wangu umediriki kumshutumu Mhe.Lissu na mbaya zaidi kama
Founder Chairman of CHADEMA
kwa kuwa tu kasema ukweli.Ila ni amini kuwa hukufanya hivi kwa ushauri,ushawishi na shinikizo la mtu yeyote awaye.

Ila nikuarifu tu kuwa kwa wengine Mtazamo wako huu dhidi ya Mhe.Lissu unatafsiri nyingi na muda ndio utatupa jibu huko mbele ya safari.
 
Nilimsikiliza Mheshimiwa Tundu Lissu na nasikitika kwamba sikubaliani naye jinsi alivyoeleza shutma juu na dhidi ya Mwalimu Julius Nyerere, Baba na Muasisi wa Taifa letu.

Inajulikana na umma wa Watanzania, kwamba mimi binafsi, kama Waziri wa Fedha, nilitofautiana na Mwalimu, nikajiuzulu Uwaziri Decemba,1979, nikimwomba ateuwe Mtanzania mwingine atakayeshauri mambo ya Uchumi na Fedha. Lakini tuliendelea kuwasiliana kwa maelewano bila chuki, na hata aliniteuwa niwe Mwakilishi wa Tanzania na Afrika inayoongea Kiingereza katika IMF (Shirika la Fedha Duniani) chini ya miaka mitatu baadaye Novemba, 1972.

Nimekuwa na mawasiliano na maelewano mazuri sana na Mwalimu hata baada ya kuasisi CHADEMA, Julai 1992 na tulipokamilisha Katiba na Sera za Chadema, nilimtembelea Nyumbani kwake Butiama nikampa azisome ajionee jinsi tulivyonuia kuwahudumia Wananchi wetu. Hata siku moja siwezi kumtusi Muasisi wa Taifa letu. Iwe ni mwiko pia kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kumtusi Baba wa Taifa.

Ningewashauri uongozi wa Chadema na hasa Vijana wa M4C (Vuguvugu la Mabadiliko) tuendelee na uhamasishaji : kwa umakini, tukiwa na huruma kwa wanyonge maskini wa kutupwa, tukijiandaa kwa umakini na kiutaalamu Sera na Mikakati ya kuwakomboa toka katika umaskini wa kutupwa kwa kutumia nguvu ya umma (Peoples Power) tukitumia mikakati sahihi: kwani Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke:

Mikakati na Sera sahihi ikiwa ni kutumia misingi ya Uchumi na Miundombinu tulionayo licha ya uhalisia dhoofu tulioridhi; tukiwaenzi walioijenga na kuturidhisha kwa unyofu wao.

Roho ya Julius Nyerere ilale mahala pema Peponi. Amen!

With all due respect to Hon. Tindu Lissu, this smacks BAD TASTE.


Edwin Mtei,

Founder Chairman of CHADEMA.
Mzee asante kwa kutupa chadema sasa pumzika hawa CCM tuachie sisi
 
With all due respect... Mzee mtei hapa umeiharibia sana CDM! Strategy ya Lisu hata kama inamapungufu ingetakiwa damage control ifanyike mwisho wa mjadala!!! Siiungi mkono matusi ama dhihaka kwa Baba wa Taifa hili lenye watu wanaoishi kwa maelewano makubwa kuliko nchi yoyote ile hapa Africa kutokana na misingi aliyoijenga na kutuachia! ILA ukweli na maridhiano ni muhimu sana kwa muungano wetu ...

Edwin Mtei is a political liability to CHADEMA.He has been wrong on so many issues.Lissu was right on his views over Nyerere,Lissu was fighting a strategic war against CCM.He was trying to beat CCM to their own game by pitying them against the very same electorate they (CCM) used to win elections.Sadly,To my surprise,Mtei comes and help to get CCM out of this political trap Lissu and Jussa carefully designed.Lissu must be very disappointed right now following Mtei ignorance of political trap he ensnared CCM.
 
Nilimsikiliza Mheshimiwa Tundu Lissu na nasikitika kwamba sikubaliani naye jinsi alivyoeleza shutma juu na dhidi ya Mwalimu Julius Nyerere, Baba na Muasisi wa Taifa letu. Inajulikana na umma wa Watanzania, kwamba mimi binafsi, kama Waziri wa Fedha, nilitofautiana na Mwalimu, nikajiuzulu Uwaziri Decemba,1979, nikimwomba ateuwe Mtanzania mwingine atakayeshauri mambo ya Uchumi na Fedha. Lakini tuliendelea kuwasiliana kwa maelewano bila chuki, na hata aliniteuwa niwe Mwakilishi wa Tanzania na Afrika inayoongea Kiingereza katika IMF (Shirika la Fedha Duniani) chini ya miaka mitatu baadaye Novemba, 1972.
Nimekuwa na mawasiliano na maelewano mazuri sana na Mwalimu hata baada ya kuasisi CHADEMA, Julai 1992 na tulipokamilisha Katiba na Sera za Chadema, nilimtembelea Nyumbani kwake Butiama nikampa azisome ajionee jinsi tulivyonuia kuwahudumia Wananchi wetu. Hata siku moja siwezi kumtusi Muasisi wa Taifa letu. Iwe ni mwiko pia kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kumtusi Baba wa Taifa.Ningewashauri uongozi wa Chadema na hasa Vijana wa M4C (Vuguvugu la Mabadiliko) tuendelee na uhamasishaji : kwa umakini, tukiwa na huruma kwa wanyonge maskini wa kutupwa, tukijiandaa kwa umakini na kiutaalamu Sera na Mikakati ya kuwakomboa toka katika umaskini wa kutupwa kwa kutumia nguvu ya umma (Peoples Power) tukitumia mikakati sahihi: kwani Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke: Mikakati na Sera sahihi ikiwa ni kutumia misingi ya Uchumi na Miundombinu tulionayo licha ya uhalisia dhoofu tulioridhi; tukiwaenzi walioijenga na kuturidhisha kwa unyofu wao. Roho ya Julius Nyerere ilale mahala pema Peponi. Amen!With all due respect to Hon. Tindu Lissu, this smacks BAD TASTE.
Edwin Mtei,Founder Chairman of CHADEMA.

"Awamu ya kwanza imefanya ya kijinga imefanya ya maana, chukuweni ya maana acheni ya kijinga! Ubaya wenu mnaacha ya maana mnachukuwa ya kijinga"

Moja ya jambo la kijinga la awamu ya kwanaza ni kwa kuwa na muungano wa mazingaombwe kama huu!
Watu wamejawa na hofu hofu tu!
 
Ina maana hotuba ya Lissu haikupitiwa na 'vigogo' wa Chadema kabla hajaitoa bungeni?

Kaka hawa Cdm huwa hawasomi na kupitia hotuba zao. Nakumbuka kwenye hotuba ya bajeti nadhani 2012/13 Lisu aliongea vibaya sana khs Zanzibar na ilileta mtafaruku sa kwa wabunge wa upinzani
 
Mimi naomba mnitajie tusi alilotukana tundu lissu maana nimesikiliza sijasikia tusi hata moja, mtu ukiambiwa ukweli unasema tusi
 
Hiki chama ni mkusanyiko wa machizi tu, wao wanajua matusi tu

Majuzi niliifurahia hotuba yake alivyoanza kabla umeme haujakatika, kumbe mwishoni ni matusi matupu!

Ona sasa wamemkera hadi muasisi wao...

Nashauri, TUNDU, na MBOWE wafukuzwe mara moja.
Hivi huyu mtu ana akili kweli?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom