galiya
Moringe ni habari nyingine kabisa. Yaweza kuwa tunao kina Moringe wengi tu Tanzania ila mfumo wa sasa hauwezi kuwaruhusu kupenya.
And what did he do for his country, a good leader is not defined for his hands on approach, or of his good heart, empathy nor his philanthropic acts.For Sokoine it was -"ASK NOT WHAT YOUR COUNTRY CAN DO FOR YOU, BUT WHAT YOU CAN DO FOR YOUR COUNTRY
Ni dhana ambayo na sisi kama watanzania sasa tuanze kujiuliza ki maslahi binafsi hawa viongozi wanaotaka kutuongoza watatuletea nini cha kutusaidia na sisi. Na si majina tu ya watu kila kukicha. Tunachangia kwa upande mkubwa sana kupata viongozi wabovu kwa ushabiki wetu na tabia ya kutopenda ku-demand what we think is rightful ours.For Lowasa it is "ASK NOT WHAT YOU CAN DO FOR YOUR COUNTRY BUT WHAT YOUR COUNTRY CAN DO FOR YOU!
Naona ya Dodoma yamewashinda sasa mnataka kuleta porojo humu Lowasa na Sokoine ni kama mafuta na maji ,ni kitu tofauti kabisa ni sawa na kulinganisha Twiga na FaruSokoine na Lowassa ....wau wawili tofauti kabisa
wanafanana kitu kimoja tu...'their first name'....
And what did he do for his country, a good leader is not defined for his hands on approach, or of his good heart, empathy nor his philanthropic acts.
Indeed a good leader is defined on what he has done for his country, what he did for his people or attempted for his people. For instance if you were told to write an autobiography and the impact of his legendary which still have direct or indirect influence on society today can you list any?
Tuache kuwamulika viongozi waliokuwa na madaraka ya juu tena na nafasi kubwa ya kutupeleka mbele kutokana na patriotism iliyopo kipindi chao na kushindwa kuleta maendeleo yoyote. Aina maana hawakuwa viongozi wazuri ispokuwa walikuwa kwenye nafasi za uongozi ambazo si fani yao. Na haya ndio matekeo ya kugeta-geta kwa maendeleo yetu, na sisi wenyewe tukichangia kwa kuwa hatutafuti viongozi wenye vission ya taifa.
Ukitoa Nyerere, waliofuata hili mradi siku ziende lakini impact no, huyu wa sasa maendeleo kwake ni watu kuwekeza kutoka nje. Si watu wa ndani wapewe mbinu za kuleta changamoto za maendeleo yao. Ilimradi tuseme JK aliweka.
Ni dhana ambayo na sisi kama watanzania sasa tuanze kujiuliza ki maslahi binafsi hawa viongozi wanaotaka kutuongoza watatuletea nini cha kutusaidia na sisi. Na si majina tu ya watu kila kukicha. Tunachangia kwa upande mkubwa sana kupata viongozi wabovu kwa ushabiki wetu na tabia ya kutopenda ku-demand what we think is rightful ours.
MAGWANGALA
Umesema "Naskia harufu ya fedha za Gaddafi hapa". Sasa nimeamini kuwa Mkapa alikua sahihi aliposema kwamba Watanzania ni wavivu wa kufikiri! Hivi kigumu ni nini kwa wewe kuchambua hoja iliyombele yetu? Gaddafi anatokea wapi? Kwanini usimwache marehemu apumzike kwa amani huko aliko? Pamoja na nyie kumchukia Gaddafi kwani Libya sasa ndo iko salama na wananchi wananeemeka?
Nilitegemea ungetoa mawazo/ushahidi kua uliyoyaandika sio kweli Lowasa ni maskin na ni mtu wa kawaida tu kama watanzania wengine etc. JIPANGE !
MAGWANGALA
Sasa cha ajabu nini kutumia kiingereza? Hujui kwamba Tanzania Kiswahili na kiingereza zote ni lugha rasmi na mtu ana uhuru wa kuandika lugha aipendayo? Kama lugha niliyoitumia ya kiingereza hairuhusiwi humu JF nadhani mods wangekua wameipotezea zamani!
Mkuu,huyu jamaa meelewa sana,ni kama ukirusha jiwe gizani,atakaelia ujue limempata!watu wengine bibi eeh, mtu akisema anasikia harufu ya madafu ya libya wanajidai hawamwelewi, akisema hapa anasikia harufu ya maembe je?
Yes EL hafai,ok,nani anafaa?nimeenda kwenye profile yako na kuangalia machapisho yako nikaona "mtu anayefaa"Baada ya kubandika uzi wako huu,tumeona jinsi unavyochangia,tumenusa harufu ya fedha za Gaddafi,Natarajia ukija na uchambuzi mwingine juu ya watu wanaofaa kuwa marais hutasita kuzungumzia kidogo "Fedha za Gaddafi"PRESIDENT ELECT FEKI
Nyie mnasema kwamba mnaskia harufu ya pesa za Gaddafi. Kwa akili yenu fupi mmeshindwa kupambanua hoja mnakimbilia kuongelea upuuzi! Hoja hapa ni aina ya Kiongozi anaetufaa. Na mwanzo nimeandika kua kuanzia leo wale wote walioonyesha nia ya kwenda Magogoni ntawalinganisha na Viongozi wetu wa zamani na kwa kuanzia naanza na the two edwards. Sasa hapo cha ajabu ni nini?? Tatizo lenu nyie mnaempenda LAIGHWANAN so mkiona uzi wowote unaomkosoa mnakuja juu kama moshi wa kifuuu na kuacha kujadili hoja iliyopo mbele. Hata akina Membe, Magufuli, Sita, Migiro etc wote watafananishwa au huelewi maana ya "As from today, I will be comparing.... katika ile para ya kwanza, Mkuu au Lugha gongana????