Edward Lowassa: The Commander in Chief ( in waiting....)

Binafsi nataka rais kama huyu.

Hamumunyi maneno na anajua mood ya nchi na pia yuko decisive. Naamini huyu anafaa kuwa my Commander in Chief japo kwa sasa he's in waiting.

Tunaheshimu maamuzi yako.Sisi wengine hatumkubali,kwanza huwa Ana udini si mnaona anavyomwaga fweza makanisani?
 
Binafsi nataka rais kama huyu.

Hamumunyi maneno na anajua mood ya nchi na pia yuko decisive. Naamini huyu anafaa kuwa my Commander in Chief japo kwa sasa he's in waiting.

He is very corrupt na mdini sana hafai.
 

Fully supporting you. once bitten twice shy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…