Edwad Lowasa ni miongoni classified thieves! Ni tajiri sana na utairi wake hawezi kuuelezea, ina maana aliyatumia madaraka yake vibaya. HAFAI, HATUFAI.
tanzania haimudu kuongozwa na mtu mwenye kiu ya kuiongoza, inahitaji mtu anayeipenda na kuwapenda watu wake, mwenye huruma, utu, mwenye kukerwa na rushwa, mwenyekujua kwanini watanzania ni masikini,
SLOGAN HAZINA NAFASI THIS TIME.