Kuna taratibu/miongozo miwili ya TCU,kwa wale wanaotarajia kujiunga na degree (undergraduate)...
Hiyo ulioiangalia ni kwa wale wanaotokea form six,lakini kwenu mnaotokea diploma kuna qualification zenu pia...Miaka ya nyuma ilikuua gpa ya 3.5 kwa miaka hii fuatilia ikoje
Yote ya yote nakushauri endelea na chuo (diploma),kazana upate gpa nzuri,Anza kwa kufanya kazi,baadae baada ya miaka 2 au 3 utajiendeleza degree..(kama vipi pia una gpa nzuri na uko desperate sana na degree utaapply degree)
Sikushauri uende urudi ukasome hkl..sikuizi kuna sekeseke kubwa la mkopo,waweza baadae ukakosa mkopo (kama maisha yako ni ya hhali ya chini),pia kwa masomo ya arts ajira zasumbua