Mbatia huwa anabuni Vyeo kila siku, KISANDU baada ya Kukimbilia huko kilibuniwa Cheo akapewa, Yaani hata wewe ukihamia huko kitabuniwa Cheo, Unaweza shangaa unapewa cheo cha Mkurugenzi wa NCCR Taifa, au Raisi wa Secretariet ya NCCR Mageuzi Taifa, Mbatia ni Mjanja sana anabuni vyeo kuwafurahisha hao jamaa njaa