Snrmoudy Mkuu, unajua gharama za kutuma pesa Kenya via ecobank au gharama za TTMsaada anayejua jinsi ya kudeposit pesa kwenye prepaid card ya ecobank Cashxpress....kwa kutumia mitandao ya simu...lazima uweke zile number 16 za nyuma ya card au kuna utaratibu mwengine?