Waziri wa Africa mashariki mnamjua. anawania kumrithi baba R. Wahindi ndio waliobobea kwa rushwa unategemea nini ? Graduates wengi wa IMTU ni makanjanja lkn hawawatibu viongozi. viongozi wetu wanatibiwa A. kusini na Ulaya. Acha Mtz aendelee kupata maisha mazuri kwa tiba ya makanjanja wa imtu. Na hii kesi mark my words baada ya wiki hii hutaisikia tena.
Nchi ya kitu kidogooooo
Nchi ya kitu kidogooooo
Ni kweli ni Rushwa kwa kwenda mbele. Nchi ambayo maporisi Mabosi wanavitambi aibu sana. Corrupted country, Corrupted Country, Corrupted Country,