Ulicho andika ni upuuzi usiovumilika nichuo gani Tanzania inachuo kilichojitosheleza kwa kila kitu kama vya wenzetu Ulaya na nchi zilizoendelea penda chako boresha unapomtukana Rais na Kutukana serikali nzima unaakili wewe mafanikio uliyoyapata nyanja zote ni chini ya serikali hihi.Umenikera sana,hivi kwanini mnapenda kudanganya watu humu ukweli wa tukio kwa undani huujui unasikia sikia tu,ni lini na wapi ulilinganisha wanafunzi hawa wa vyuo vyote Imtu na hao wengine ukaona hawafai sasa kwa taarifa yako nenda maeneo ya Hospital za rufaa ukaone Interns gani wanapiga kazi za kufa mtu achakukariri pumbafu wewe.
Wanafanya kazi gani? Au kwa vile hakuna system ya kuwa assess, daktari wa div 3 au 4 siyo na hawezi kuwa daktari mzuri hata siku moja, nyie wa ma div 3 na 4 wengi ni wale sijui ndo mnaita clinical officers, sasa mnatumia ujuzi wa kiorimitive kutibu, ata maongezi ya daktari wa vyuo vya kata na fresher wa chuo kikuu sawasawa utagundua walakini upo wapi. Yule fresher anaitaji muda kidogo sana kucatch up na kumuacha yule mbumbumbu aliyevamia fani