EA Radio mna shida gani?

EA Radio mna shida gani?

Tatizo hawana mtu makini huoni skonga haina mtangazaji mpaka leo, inatakiwa unaajiri mtu anayeweza kutangaza vipindi viwili na zaidi.
 
Tatizo hawana mtu makini huoni skonga haina mtangazaji mpaka leo, inatakiwa unaajiri mtu anayeweza kutangaza vipindi viwili na zaidi.
Si kweli ..utakuwa ufatilii hichi kipindi kina mtangazaji mwezi wa pili sasa
 
kipindi cha George na Kennedy kilikuwa safi sana na ngoma Kali mwanzo mwisho, nashangaa wamewaweka sam misago na yule dada, hata hakivutii. wamuongezee time basil ambakile na yule marry (mkunga). otherwise vipindi vilivyo salia ni pathetic...
 
Back
Top Bottom