ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,282
- 541
Yani kila leo mnaondokewa na watangazaji ninao wakubali, are u still paying them "vijimshahara" ama? Juzi kaondoka George Bantu, leo naangalia insta ya Clouds namwona tena Kenedy the remedy. Whats wrong with you guys? Yani gap la miezi mnawapoteza wafanyakazi wazuri wawili tena walikua wanaendesha kipindi kimoja? Kabla yao kaondoka Dj Mafuvu, wote hawa ni majembe hatari alafu kabla yao aliondoka Sebastian alafu 90% wanaenda sehemu moja.
Mnatuboa kwa kweli, u dont care abt ur fans.
Mnatuboa kwa kweli, u dont care abt ur fans.