Nipo ndani ya hii industry kuliko unavyodhani na nishafanya kazi serikalini na private gap lao ni mbingu na ardhi vi system vyako unatumia codeignitor na laravel ndo unataka kutisha watuHivi unajua moja chachu ya kuongezeka kwa mapato ya Tz ni GePG sasa kama sio secure why kila siku mapato yana ongezeka?
Unaweza kunipatia ripoti yoyote ya ukaguzi ya IT ktk bank ya NMB?
Au ushajiuliza pamoja na kuwa na mauditor CISA certified upande wa IT,washawahi kutoa ripoti zao za ukaguzi ya mifumo yao na kuwapa taarifa wateja wao?
Tatizo lenu hamzijui hizo taasisi,ila sisi tulio ndani tunawajua na tunaona,husi tegemee taasisi ya bank ikuambie imepigwa,sababu kufanya hivyo wanaji haribia kibiashara, reputation ya kampuni yao na kupoteza trust kwa wateja.
Wewe husikii sababu haupo ndani ya industry hii ya IT na huto sikia utaishia usikia sifa nzuri nzuri.
eGA ibakie regulator tu sio developers...I support the movebahati mbaya sana hujataka kuangalia e-GA wanachokifanya , wana produce best software na nina uhakika una image ya mifumo ya serikalini miaka 10 iliyopita huna experience latest ya mifumo ya serikali
Uzuri nishafanya kazi karibia na taasisi zote za kibank, za mawasiliano na kiserikali, ila kwa Serikali Mtandao wapo tofauti sana na hata huko sekta binafsi hamna maajabu yoyote, kuna maIT TRA,BOT,TPA wapo vizuri sana kuliko hata huko sekta binafsi.Nipo ndani ya hii industry kuliko unavyodhani na nishafanya kazi serikalini na private gap lao ni mbingu na ardhi vi system vyako unatumia codeignitor na laravel ndo unataka kutisha watu
hakuna na haiwezi tokea [emoji23] [emoji23] [emoji23] , MICROSOFT imejikita zaidi kwenye personal computers na sio Enterprise! kwenye Enterprise kuna ligi tafauti microsoft hayupo uko! have you ever herd of LINUX? ORACLE?
Actualy microsoft yupo pia kwenye enterprise business, tofauti ni kuwa soko lake haliko tz, mostly wanaotia enteprise services za microsoft wanatokea US na europe kwa asilimia kadhaa, no disrespect kwa giants wengine walio kwenye ushindani
Sheria irekebishweumesoma sheria na kanuni za e-GA?
ivi kwani hamna system ya nchi imekaa wapi mpaka nchi inachezewa hivi?Tuendelee kumshangilia mama kuwa anaupiga kwa weledi....
Naam mpaka anamaliza muda wake madarakani tutakuwa na damage kubwa ambayo itatulazimu kukaa chini tujipange upya kisha atatokea wa kuharibu tena.... Serikali hasa mifumo inafurahia hii hali kwa sababu ni wanufaika pia
Bingwa hebu kafanye research zaidi halafu ulete mrejeshohakuna na haiwezi tokea π π π , MICROSOFT imejikita zaidi kwenye personal computers na sio Enterprise! kwenye Enterprise kuna ligi tafauti microsoft hayupo uko! have you ever herd of LINUX? ORACLE?
Asante kwa mchango wako wa kisiasaTuendelee kumshangilia mama kuwa anaupiga kwa weledi....
Naam mpaka anamaliza muda wake madarakani tutakuwa na damage kubwa ambayo itatulazimu kukaa chini tujipange upya kisha atatokea wa kuharibu tena.... Serikali hasa mifumo inafurahia hii hali kwa sababu ni wanufaika pia
walichotakiwa kufanya akina Nape na wenzake ndicho hicho,walitakiwa wapeleke mswaada bungeni wa marekebisho ya sheria ya e-GA , itakayoruhusu taasisi binafsi kuunda mifumo ya serikali period.Hizi zinazofanyika ni ngonjera za kisiasaSheria irekebishwe
Joti na MpokiHiyo 60% ni ya nani?
wewe lazima ni pumguwani.Miezi takribani sita imepita niliandika juu ya njama za viongozi waandamizi wa serikali kuihujumu mamlaka ya serikal mtandao(e-GA). Mipango ya e-GA kuzuiwa kufanya majukumu ya uundaji wa mifumo ya serikali ili waandamizi watafute kampuni binafsi kufanya hayo imeanza kufanikiwa.
Leo Wizara ya TEHAMA imeingia makubaliano na NMB ili NMB iwe inalipwa na serikali kutengeneza mifumo ya TEHAMA ya serikali.
Kwa mujibu wa MOU iliyo sainiwa leo , NMB atatoa wataalamu wa TEHAMA(Software developers) kutengeneza mfumo utakao replace NIDA na RITA ,kama mnavyofahamu ,serikali inakuja na jamii number ,namba ambayo mtoto akizaliwa atakuwa nayo na atakua nayo ,initiative nzuri sana lakiniiiii, kulikua na ulazima gani wa mradi nyeti kama huu kupewa taasisi binafsi? wafanyakazi wa NMB wana proper vetting kuanza kushika mifumo ya siri namna hii?
Achana na jamii bima, ESB ambayo tayari ipo e-GA na inafanya kazi, Wizara ya TEHAMA imeamuru NMB kupewa tender kupitia MOU hio wao ndio watengeneze ESB ya serikali, yaani mawasiliano ya mifumo yote ya serikali ananyang'anywa e-GA na anapewa NMB why?
Hivi nchi hii tuna mawaziri wanaofikiria kweli? Haya ndio mambo ya waziri alikuja na kufuta physics akasema iwe physics with chemistry, waziri huyo wa zamani alifuta masomo ya biashara na kilimo pia kabla ya serikali ku reverse maamuzi hayo, lakini kama mnakumbuka kuna watanzania walifutiwa masomo hayo.
Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa maslahi ya nani?
Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa kumkomoa nani?
View attachment 2883959
Bingwa hebu kafanye research zaidi halafu ulete mrejesho
Sheria irekebishwe
Very unfortunate tuna watu ambao wako programed kupinga kila agenda
Maswali ya mwenye akili kujiuliza
1.Kama e-GA hana uwezo NMB ana uwezo?
2.NMB ametengeneza mifumo ipi ukiacha nmb mkononi kama proof of concept?
3.NMB mifumo yake mikubwa yaan core banking system haijatengenezwa na vijana wa NMB ni proprietary system
4.Kama ESB/X-Road system iliyopo e-GA haifai ya NMB ipi inayofaa ambayo wamewahi kutengeneza
5.Kama kuna ulazima basi wangetangaza tender ya wazi ili CRDB na wengine nao wabid
6.NMB sio software development company ni banking company inakidhi vigezo vipi kupewa utengenezaji wa mifumo hio ya serikali?
NMB sio software dev company , kwa nini wanachukua majukumu hayo?
Tunafahamu e-GA mnataka kuiua basi tangazeni tender ya wazi kampuni zichukue tender
Anafanya kazi gani?kwan mkuu we si unafanya kazi ambayo hujasomea chuo pia [emoji23]
Kile kile kilichoifukuzisha Selcom kinaenda kutokea NMBWewe kichwa maji sana 40% ndio inakufanya uamini NMB apewe hiyo kazi?
-Wafanyakazi wa NMB wanalipwa na kuajiriwa na nani? What's the vetting process?
-sera ya usiri katika kazi NMB ipoje
-NMB ni taasisi ya kifedha, inawezekana vipi wapewe kazi ya mifumo ya kielectronic wakati business line yao ni kudeal na fedha na sio technology.
-Kumbuka mwenye hisa kubwa ndiye muamuzi mkuu, sasa serikali itaweza kusema nini kuhusu mambo yakienda tofauti?
Moja, tunaitaka NMB na SERIKALI watuwekee business license kwamba NMB pia wana deal na kuendesha biashara au huduma za kiteknilojia
Pili, mfumo wa ega unahusisha malipo na huduma mbalimbali kwa serikali, hivyo serikali ituhakikishie kuwa hakuna taarifa au malipo yatakayochepushwa kwenda NMB.
Tatu, sasa ni wakati wa ofisi ya CAG watumishi wake wachaguliwe hasa Chief officer asiteuliwe na rais ili awe huru kupitia na kukagua taasisi mbalimbali.
NB. Kuna mfumo wa malipo serikalini GePG hasa upande wa manunuzi ya umeme kuna wizi wa uchepushaji fedha za manunuzi ya umeme unafanyika huko, yaan ni kufuru huko hatari.