PreGE2025 Jenerali Ulimwengu: Hali ya Siasa Tanzania ni mbaya sana,Uchaguzi hufanyika kimaigizo

PreGE2025 Jenerali Ulimwengu: Hali ya Siasa Tanzania ni mbaya sana,Uchaguzi hufanyika kimaigizo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,913
Reaction score
133,926

View: https://youtu.be/eYqrDjwkZ1E?si=IAwIBaBwF_ZH9Mes

Redio DW ya Ujerumani leo mchana imeutangazia ulimwengu kwamba hali ya siasa Tanzania ni mbaya sana.

Akifanyiwa mahojiano mwanasheria na mchambuzi wa siasa Jenerali Ulimwengu amesema hali hiyo imechochewa na kufunguliwa kwa mashitaka ya uhaini mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Lissu.

Ameongeza chaguzi zilizofanyika 2019, 2020, 2024 na huu wa 2025 hauna tofauti na enzi za ukoloni kwani mshindi anakuwa ameshajulikana.
 
Nishiriki hata nisiposhiriki sisi CCM tutashinda tu, maana nisipo piga kura kuna kula tayari ipo wameisha piga
 
Redio DW ya Ujerumani leo mchana imeutangazia ulimwengu kwamba hali ya siasa Tanzania ni mbaya sana.

Akifanyiwa mahojiano mwanasheria na mchambuzi wa siasa Jenerali Ulimwengu amesema hali hiyo imechochewa na kufunguliwa kwa mashitaka ya uhaini mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Lissu.

Ameongeza chaguzi zilizofanyika 2019, 2020, 2024 na huu wa 2025 hauna tofauti na enzi za ukoloni kwani mshindi anakuwa ameshajulika
Huo ndio ukweli wenyewe hata samia analijua hilo sema tu uchu wa madaraka umemzidia
 
Redio DW ya Ujerumani leo mchana imeutangazia ulimwengu kwamba hali ya siasa Tanzania ni mbaya sana.

Akifanyiwa mahojiano mwanasheria na mchambuzi wa siasa Jenerali Ulimwengu amesema hali hiyo imechochewa na kufunguliwa kwa mashitaka ya uhaini mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Lissu.

Ameongeza chaguzi zilizofanyika 2019, 2020, 2024 na huu wa 2025 hauna tofauti na enzi za ukoloni kwani mshindi anakuwa ameshajulikana.
Nchi inaharibiwa na CCM sana tuamke!
 
Laiti viongozi wetu wasingekua na ubinafsi?🤔ona Sasa chadema peke yake,na wapinzani wengine nao wanaishambulia chadema😳
 
Redio DW ya Ujerumani leo mchana imeutangazia ulimwengu kwamba hali ya siasa Tanzania ni mbaya sana.

Akifanyiwa mahojiano mwanasheria na mchambuzi wa siasa Jenerali Ulimwengu amesema hali hiyo imechochewa na kufunguliwa kwa mashitaka ya uhaini mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Lissu.

Ameongeza chaguzi zilizofanyika 2019, 2020, 2024 na huu wa 2025 hauna tofauti na enzi za ukoloni kwani mshindi anakuwa ameshajulikana.
very true
 
Sina la kuchangia zaidi ya kusema sitashiriki uchaguzi wowote mpaka mabadiliko ya katiba na tume huru ya uchaguzi itakapopatikana. Vinginevyo nipo tayari kufa.
Similarly to expecting results from what you

Kutegemea matokeo chanya kwenye uchafuzi,

vile vile kuilipia gharama za uwanja huku ukijua mpinzani wako ni mgonjwa wa akili anaweza akashiriki ama asishiriki, au kuilipia chumba cha kulala wageni wakati................hajafika
 
Generali Ulimwengu apewe ulinzi maana hawakawii kumuanzishia figisu, japo yeye anajiamini na huwa hapepesi maneno.
yeye tu ni mlinzi ,kawafundisha wapiganja uhuru msumbiji,Angola ,south africa na wengine akiwa na PUTIN huyu rais wa sasa WA Russia pale bagamoyo(mfano mzuri kamuulize rais WA Namibia wasasa ,alishinda akilindwa na kupewa mafunzo na jenerali ulimwengu Dodoma huko makambi ya jeshi huko
 
Back
Top Bottom