Osaba JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 1,942 Reaction score 802 Feb 5, 2017 #1 Naombeni msaada wadau dvd rom haionekani kwenye laptop yangu aina ya dell
Osaba JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 1,942 Reaction score 802 Feb 6, 2017 Thread starter #2 ...
Osaba JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 1,942 Reaction score 802 Feb 6, 2017 Thread starter #3 ....
K Kasongo JF-Expert Member Joined Jul 29, 2007 Posts 3,149 Reaction score 2,273 Feb 6, 2017 #4 download upya
kastamu New Member Joined Nov 15, 2016 Posts 2 Reaction score 1 Feb 7, 2017 #5 Imetokeaje mpaka ikawa hivyo
muvika online JF-Expert Member Joined Nov 27, 2016 Posts 374 Reaction score 283 Feb 7, 2017 #6 CHIEF MKWAWA
nacktary Member Joined Mar 14, 2013 Posts 52 Reaction score 37 Feb 10, 2017 #7 Hapo swala la kucheki drivers za hiyo dvd kama zipo kwenye hiyo pc au la
Osaba JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 1,942 Reaction score 802 Feb 10, 2017 Thread starter #8 Nimejaribu kufunga drivers zote lkn imekataa
ZNM JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 1,219 Reaction score 1,281 Feb 10, 2017 #9 Kufunga drivers, una maana gani? Osaba said: Nimejaribu kufunga drivers zote lkn imekataa Click to expand...
Kufunga drivers, una maana gani? Osaba said: Nimejaribu kufunga drivers zote lkn imekataa Click to expand...
ZNM JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 1,219 Reaction score 1,281 Feb 10, 2017 #10 Chomoa hiyo DVD drive kisha chomeka tena, fanya hivyo ukiwa umezima laptop yako kisha istart upya!
W WAKU-GOOGLE JF-Expert Member Joined Jan 20, 2015 Posts 950 Reaction score 630 Feb 10, 2017 #11 ZNM said: Chomoa hiyo DVD drive kisha chomeka tena, fanya hivyo ukiwa umezima laptop yako kisha istart upya! Click to expand... Yap hii ni solution kabisa... Atakuwa ame eject DVD rom.. kama flash inavyo ejectiwa... hapo ni kuichomoa na kurudishia inakuwa poa
ZNM said: Chomoa hiyo DVD drive kisha chomeka tena, fanya hivyo ukiwa umezima laptop yako kisha istart upya! Click to expand... Yap hii ni solution kabisa... Atakuwa ame eject DVD rom.. kama flash inavyo ejectiwa... hapo ni kuichomoa na kurudishia inakuwa poa
Osaba JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 1,942 Reaction score 802 Feb 11, 2017 Thread starter #12 Ngoja nifanye nitaleta feed back
Sipendi Uchawa JF-Expert Member Joined Dec 19, 2016 Posts 7,926 Reaction score 12,451 Feb 15, 2017 #13 Osaba said: Ngoja nifanye nitaleta feed back Click to expand... Mkuu bado mrejesho