umeshatoka zamani tu mwaka huu
NI kwamba Vyuo vya Ualimu watapokea madaraja (waliofaulu kwa Div) kuanzia Div -1 hadi 3 yapoint 34 Lakii hao wenye kuanzia 32,33, na 34 wakiwa Chuoni ni lazima wafanye Mtihani wa Kidato cha IV kwa masomo aliyofeli na akifeli tena hataingia mwaka wa pili wa Kozi hiyo ya Ualimu