Duniani kuna binadamu wachache wenye karama za ajabu zinazowatofautisha na wengi

proton pump

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
5,379
6,931
Nimekaa nikatafakari kuwa usishindane na mtu au watu kwa namna yoyote ile. Watu wametofautiana kutokana na karama aliyotupa Mungu.

Kuna wenye akili nyingi za kugundua na kuunda vitu vinavyomvutia mwanadamu mwingine.

Nashangaa sana kuona mitambo na mikubwa, kv ndege, mashine za kwenye migodi, mabasi. Huwa najiuliza aliyetengeneza hicho kitu aligunduaje yeye? Aliota usiku?

Fikiri hata hizo nyaya ni nyingi kiasi kwamba ukikatika hata mmoja mtu unayerekebisha unapata tabu kweli.

Fikiri aliyewaza umeme aliwazaje? kwa nini yeye? na ilikuaje?

Fikiri aliyetengeneza makompyuta mara wireless alifikiria nn? kwa nini yeye? ilikuaje aliota usiku au alioneshwa na Mungu?

Fikiri hawa wachina wanotenganisha maji wakati wa kutengeneza daraja inakuaje?

Fikiri wanaotengeneza mabomu ya mbali, kwenda mwezini inawezekanaje? mbona sisi ngozi nyeusi japo tunajitahidi hatuwafikii hata kwa asilimia 20?

Fikiri sementi inavyochakatwa ule moto unaopika yale mawe ni 3600c sawa na ule kutengeneza nondo? haya si maajabu? huyo mtu anayewaza huwa anapata majibu saa ngapi?

Licha ya kuwaza, unaweza ukawa na kitu kichwani lakini unaanzaje?

Duu ngoja ninywe maji kwanza nilale niamke nikakojoe. ๐๐ข๐ฆ๐ž๐ฐ๐š๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐ž๐ง๐ ๐ž๐ง๐ž๐ณ๐š ๐€๐ฉ๐ฉ ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ก๐š๐ฆ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐š ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐œ๐ก๐š๐ฃ๐ข ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ค๐จ๐ฆ๐ฉ๐ฎ๐ญ๐š ๐š๐ฎ ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐š๐ง๐š ๐š๐ฌ๐ข๐ฅ๐ข๐ฆ๐ข๐š 1 ๐ง๐š ๐ฐ๐ž๐ฐ๐ž ๐ฎ๐ง๐š 100% ๐ฎ๐ ๐š๐ฆ๐ ๐š๐ฐ๐ข๐ž ๐ก๐š๐ญ๐š 50% ๐ข๐ฅ๐ข ๐š๐ฐ๐ž ๐ง๐š 51% lakini nywele zinaweza kuisha kichwani

Intelligent businessman
dronedrake

Usisite kufanya nofap
Kama una tatizo la kisaikolojia usisite kuja PM

Wako proton pump ๐˜ข ๐˜ฑ๐˜ด๐˜บ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ณ๐˜ข๐˜ฑ๐˜ช๐˜ด๐˜ต.
 
Watu wote hao ni wale waliokuwa na shauku ya kutatua tatizo fulani. Mara nyingi wavumbuzi wa vitu/mambo ni watu wenye shauku (curiosity) na wanaotamani kutatua tatizo fulani.

Watu wengi weusi huwa tumeridhika na hali zetu duni. Mtu akikumbwa na changamoto badala ya kutatua kwa kutumia akili utasikia kauli kama hizi

1. Ni mipango ya mungu
2. Nimelogwa
Au kuenda kwenye makanisa na kukesha kupiga kelele kusubiria miujiza.

Hiyo ndio tofauti ya mtu mwenye akili na mpumbavu. Weusi wengi dini zimetufanya wapumbavu wapenda miujiza.
 
Watu wote hao ni wale waliokuwa na shauku ya kutatua tatizo fulani. Mara nyingi wavumbuzi wa vitu/mambo ni watu wenye shauku (curiosity) na wanaotamani kutatua tatizo fulani.

Watu wengi weusi huwa tumeridhika na hali zetu duni. Mtu akikumbwa na changamoto badala ya kutatua kwa kutumia akili utasikia kauli kama hizi

1. Ni mipango ya mungu
2. Nimelogwa
Au kuenda kwenye makanisa na kukesha kupiga kelele kusubiria miujiza.

Hiyo ndio tofauti ya mtu mwenye akili na mpumbavu. Weusi wengi dini zimetufanya wapumbavu wapenda miujiza.
Kama tumeshindwa jambo dogo TU la kuutokomeza umasikini hali mazingira yakiruhusu kipi tutaweza
 
Watu wote hao ni wale waliokuwa na shauku ya kutatua tatizo fulani. Mara nyingi wavumbuzi wa vitu/mambo ni watu wenye shauku (curiosity) na wanaotamani kutatua tatizo fulani.

Watu wengi weusi huwa tumeridhika na hali zetu duni. Mtu akikumbwa na changamoto badala ya kutatua kwa kutumia akili utasikia kauli kama hizi

1. Ni mipango ya mungu
2. Nimelogwa
Au kuenda kwenye makanisa na kukesha kupiga kelele kusubiria miujiza.

Hiyo ndio tofauti ya mtu mwenye akili na mpumbavu. Weusi wengi dini zimetufanya wapumbavu wapenda miujiza.
Nakazia...
 
Hakuna karama yeyote anayotoa Mungu kwa binadamu.

Wewe umekaa hapo umebweteka halafu unashangaa watu walio umiza vichwa vyao kufanya tafiti mbalimbali za kuchunguza namna gani ya kuunda vitu mbalimbali kama ndege, simu, mabasi, n.k

Hakuna cha Karama, watu wamesumbua akili zao kuunda vitu.

Waafrika wakisha kula na kushiba ni kubweteka na kuzaliana tu kama mapanya.

Waafrika hawataki kuumiza kichwa vyao.
 
Back
Top Bottom