Dunia ya tatu siasa za dunia ya kwanza

Dunia ya tatu siasa za dunia ya kwanza

mstai

Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
10
Reaction score
2
Siasa za Africa bado hatujajua tuziendeshe vipi. Tunataka kuendesha siasa za Africa kama za dunia ya kwanza ili hali sisi tuko dunia ya tatu.hili
nikosa kubwa sana ambalo viongozi wetu wa siasa wanatumia kutuumiza
hasa vijana.
Inauma sana kuona vijana tunakua ni wahanga wa siasa za kiafrika
 
Tatizo sisi maslahi ya Taifa hatuyapi kipaumbele, zaidi maslahi ya watu binafsi. Hii dhambi inatutafuna sana mkuu.
 
Waafrika kila kitu tunaiga hadi siasa. hatuma lolote lakwetu wenyewe zaidi ya uchawi
 
28166533_1553598791355744_6804022148249094804_n.jpg
 
Back
Top Bottom