Siasa za Africa bado hatujajua tuziendeshe vipi. Tunataka kuendesha siasa za Africa kama za dunia ya kwanza ili hali sisi tuko dunia ya tatu.hili
nikosa kubwa sana ambalo viongozi wetu wa siasa wanatumia kutuumiza
hasa vijana.
Inauma sana kuona vijana tunakua ni wahanga wa siasa za kiafrika
nikosa kubwa sana ambalo viongozi wetu wa siasa wanatumia kutuumiza
hasa vijana.
Inauma sana kuona vijana tunakua ni wahanga wa siasa za kiafrika