Dunia inaishangaa Tanzania..

kiduvi

Member
Dec 16, 2014
30
8
Ni bahati nzuri kwamb na mimi ni mtanzania vingevyo ningewacheka sana watanzania,, mshauri mkuu wa serikali kuhusu mambo ya kisheria anajiuzulu na anapongezwa......ningecheka!!!!
Ushauri wa AG ulibezi kwny hukumu wa Jaji Utamwa hasa ktk kipengele hiki and i qoute "all affairs belong to IPTL shld be handled to IPTL" hv kweli AG alikuwa hajui kwmb escrow account ilikuwa na signatories wawili (IPTL and TANESCO) inawezekana vp AG akaona kwmb escrow acc ni ya IPTL na kumsahau mbia mwngne tanesco?? Ni bahati mbaya au makusudi?? Kwa sababu hii tumpongeze au tumpeleke segerea??
Dunia inatushangaa....
 
Huyo alipongezwa kwa kukubali kuachia ngazi, wengine wamedinda na kudai kuwa wao kuachia ngazi mpaka Tanganyika itikisike kwani wana ushahidi kamili na wameogopwa kuguswa.
 
Ni bahati nzuri kwamb na mimi ni mtanzania vingevyo ningewacheka sana watanzania,, mshauri mkuu wa serikali kuhusu mambo ya kisheria anajiuzulu na anapongezwa......ningecheka!!!!
Ushauri wa AG ulibezi kwny hukumu wa Jaji Utamwa hasa ktk kipengele hiki and i qoute "all affairs belong to IPTL shld be handled to IPTL" hv kweli AG alikuwa hajui kwmb escrow account ilikuwa na signatories wawili (IPTL and TANESCO) inawezekana vp AG akaona kwmb escrow acc ni ya IPTL na kumsahau mbia mwngne tanesco?? Ni bahati mbaya au makusudi?? Kwa sababu hii tumpongeze au tumpeleke segerea??
Dunia inatushangaa....

Dunia gani inatushanga?au wewe ndio unashanga na unene wako? it's good to keep a bottle on hand if you plan on hiking up Mount Kilimanjaro kilaza
 
Huyo alipongezwa kwa kukubali kuachia ngazi, wengine wamedinda na kudai kuwa wao kuachia ngazi mpaka Tanganyika itikisike kwani wana ushahidi kamili na wameogopwa kuguswa.

Don't wewe rudi kijijini
 
Itabidi 'tujitoe' kwenye dunia ili wakose cha kushangaa.
...mean kama M7 anavyoshauri tujitoe ICC
:)
 
Itabidi 'tujitoe' kwenye dunia ili wakose cha kushangaa.
...mean kama M7 anavyoshauri tujitoe ICC
:)

Tukijitoa kwenye Dunia pesa za wizi tutazitunzia Uswizi ya wapi? Tezi dume tutakwenda kutibiwa wapi? Safari za utalii tutazifanyia wapi?
 
Kumbe ndivyo ilivyokuwa inasema hiyo hukumu!! "All affairs belong to IPTL should be handed to IPTL" kama ni kweli ndivyo ilivyokuwa inasema basi hatuna wanasheria TANZANIA au kila mtu anatafasri kwa maslahi yake au yao, mbona ipo wazi hiyo interpretation?

kumbe wao walikuwa wanaishia katika "All affairs" eti wanasema walibase hapo tu!! kitu ambacho si.sahihi.

kifupi ni kuwa: affairs zote zinazomilikiwa na IPTL apewe. si kwamba: affairs zote ni za IPTL.

Kuna neno hapo "belong"
 
Unajua baada ya kutafakari sana nimegundua possibility moja ambayo ninaiamini kwa asilimia 90.. Lile tamko lenye maneno ya kuudhi limeandaliwa na kutolewa na Kurugenzi ya mawasiliano chini ya Bw. Salva baada ya Le Professeur kutoa go ahead kwamba Kurugenzi itoe taarifa ya kujiuzulu kwa Werema..
 
Hata kama unajua sheria halafu ukakosa akili,hekima na fikra pevu wewe ni zuzu tu kama alivyosema mwl.NYERERE kuwa mtu akikushauri jambo hali yeye akijua kwamba ni la kijinga na ww ukalichukua na kulifanyia kazi basi Mwl.Nyerere anasema ukilifanyia kazi tu ujue wewe ni Zuzu ,kilaza na kihiyo.kwa maneno mengine ww ni kanjanja tu.Kama jaji Utamwa alisema kwa hiyo ww huna akili kabisa ya kufikiri.
 
Back
Top Bottom