Dunia imekwisha

Dunia imekwisha

Refrector

Senior Member
Joined
Mar 13, 2014
Posts
187
Reaction score
118
habar wana jf.... jana jioni nikiwa narejea pahala nilipofikia huku rufiji nikakuta mama anamchapa mwanae wa kiume kama mfugo ikaniuma xana nikahc labda ni mtt wake wa kambo, nikataka kujua xababu ya adhab hyo....'Mwangalie mwenyewe alivyoharibika mfereji wa maji taka wote umebolewa' xo namchapa hataki mtaja mhucka mkuu....mtt wa miaka mitano tena wa kiume....imeniuma xana!!!
 
habar wana jf.... jana jioni nikiwa narejea pahala nilipofikia huku rufiji nikakuta mama anamchapa mwanae wa kiume kama mfugo ikaniuma xana nikahc labda ni mtt wake wa kambo, nikataka kujua xababu ya adhab hyo....'Mwangalie mwenyewe alivyoharibika mfereji wa maji taka wote umebolewa' xo namchapa hataki mtaja mhucka mkuu....mtt wa miaka mitano tena wa kiume....imeniuma xana!!!

Rudi uandike upya hayo utoe hizo X, otherwise umeleta uzi wenye maana na unaweza ukajadiliwa na member wengi.
Heading imekaa vizuri, lakini tatizo habari yenyewe umeiandika kitoto sana, na hata wachangiaji wataona wanachangia uzi wa kitoto.
 
Eh mwenyezi nilindie wanangu,japo sijazaa bado..duh
 
Siku hizi dunia imeharibika
Mtoto mdogo ni rahisi kutishwa akaharibiwa...

Hapo lawama kwa wazazi hawamchunguzi mtoto. Maana siju ya kwanza lazima aliumwa hawakuona??
 
i fuc.king hate watu wanao tumia x badala ya s..... atleast ingekua inafupisha neno ningesema afadhali
 
Back
Top Bottom