Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 7,915
- 14,632
Nyie watu mliozaliwa kuanzia 2000 kuja juu hamsomi kabsa. Mnajiona nyie ndio mnajua kila kitu kisa wakati mnazaliwa kulikua na computer.Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo
December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.
Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
HahahahahaNyie watu mliozaliwa kuanzia 2000 kuja juu hamsomi kabsa. Mnajiona nyie ndio mnajua kila kitu kisa wakati mnazaliwa kulikua na computer.
Kuna dogo nilimwambia mimi kijana nmezaliwa miaka ya 1980 kwenda juu. Kale katoto kalishangaa kakasema "Kwa hiyo ulikuwa mtumwa?"
Yani mnaamini vitu gani sijui akilini mwenu.
Madhara ya kuangalia filamu/seriesInaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo
December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.
Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
Kama TAYARI walishajua, nafanyaje?
toa hoja tetea hoja ndio watu walio elimika huwa wanafanya kama huna point kaa kimya habari wa walio zaliwa mwaka gani na mwaka hio sio hoja na huna uhakika wowote kiwa ni mzaliwa wa 2000+Nyie watu mliozaliwa kuanzia 2000 kuja juu hamsomi kabsa. Mnajiona nyie ndio mnajua kila kitu kisa wakati mnazaliwa kulikua na computer.
Kuna dogo nilimwambia mimi kijana nmezaliwa miaka ya 1980 kwenda juu. Kale katoto kalishangaa kakasema "Kwa hiyo ulikuwa mtumwa?"
Yani mnaamini vitu gani sijui akilini mwenu.
maybe i need a slap but you need to learn to think , harderBro! Kwani drones za IRAN zilikukuta uko wapi?
Seriously, you need ONE SLAP
Cos my mind is too strong to lost in a puzzleSasa wewe umejuaje hayo ?
If your mind is as strong as you say..., you would have put this story in such a way so as to avoid plot loopholes... and without an explanation of how you came into knowledge about a thing which wiped out everyone's memories, such a story will not be plausible...Cos my mind is too strong to lost in a puzzle
Hoja iko wapi mkuu? Mimi nilikuwepo 1999 sikufa wala sikuona hilo. Au unachanganya na Y2K?toa hoja tetea hoja ndio watu walio elimika huwa wanafanya kama huna point kaa kimya habari wa walio zaliwa mwaka gani na mwaka hio sio hoja na huna uhakika wowote kiwa ni mzaliwa wa 2000+
small mindedHoja iko wapi mkuu? Mimi nilikuwepo 1999 sikufa wala sikuona hilo. Au unachanganya na Y2K?
Weka hoja.small minded