Dubai mshafika nyie?
wanawake wa Dubai wanavaa kuliko wazungu. hakuna kisichokuwepo huko, night clubs za kumwaga.
hiyo picha wasi wasi wangu mtu kaibandua mahala bila ya kujua maana ya muweka picha.
lets not jump to conclusion that first ppl........maana naona tunataka kugeuka 'wazungu' wanaoamini kila muafrica ameshawahi kumuona simba mwituni kwa kuwa africa nzima ni mwitu