Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 10,590
- 7,951
Nimesema wazungu sio waarabu .
Hata hao wanao wanashida zao
Na mimi nimekusahihisha kuwa siyo wazungu tu.
Nimesema wazungu sio waarabu .
Hata hao wanao wanashida zao
Wanakera sana miaka na miaka nimeona nisemeMleta Uzi umekutana na hii kadhia bila shaka maana sio kwa kuandika huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nao hao watakuacha na nyege tuu, njoo huku nikukune vizuri na ugali napiga hotpot yote sikagui kaguiWewe ni mwanaume rijali unaletewa chakula unaanza kukikagua mara unachambua chambua utazani mtoto anayetambua ladha ya vyakula hadi mnakera.
Halafu mnaongea english broken na magari yakuazima mnajua mnakera sana.
Umefurahi eeeh?Haahaa
Imagine ni mtu wako ana hizo tabia, utaichukulia vp?Kwani mtu akiwa anaishi vile anataka na hafanyi chochote kwenye maisha yako unateseka nini mkuu?
Kwa mfano English broken yake na mashauzi yake, akigusa gusa chakula hulipi wewe. Sasa inakukeraje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, hapo utakuwa huna upendo wa dhati kwake nilitegemea utambadilisha
Mtu mzima anatakiwa ajitambueHahaha, hapo utakuwa huna upendo wa dhati kwake nilitegemea utambadilisha
Nakuelewa saana, kwanza mdada mrembo kama wewe unaanzaje kudate mbogamboga kama huyo?
Nakuelewa saana, kwanza mdada mrembo kama wewe unaanzaje kudate mbogamboga kama huyo?
Yap unastahili Gentleman
Gentleman atakosaje pesa sasa? labda kama unaongelea mamillion lakini hizi za kuendea salon na kukununulia perfume lazima awe nazo
Hizo hizo tu. Mamilioni mengi ya niniGentleman atakosaje pesa sasa? labda kama unaongelea mamillion lakini hizi za kuendea salon na kukununulia perfume lazima awe nazo
Umeonesha haiba njema sana dada, finally hata mamillioni yanaweza patikana hapo baadae kidogo, subra ibada