Naam,
Hatimaye nimeunganishiwa kifurushi changu....
Nashukuru DSTV ila naomba mjitahidi kuonyesha njia ya uwajibikaji na mfano wa kujali wateja...
Sio mpaka tuwaanike ndio muamke maofisini na kufanya kazi zenu.
Laah sivyo mkileta na kuendekeza dharau mtapotea fasta.
USHAURI KWA WATEJA MLIODHURUMIWA:
Msikubali kupoteza pesa zenu kirahisi, hawa watu wameweka vijana ofisini kwasababu yetu sisi, sasa hawa vijana wamekaa tu maofisini wanajisahau wanaona wao tu ndio wenye kuzijua kazi wazifanyazo! Nilazima tuwaamshe.
Naomba DSTV na VODACOM ifundishe wahudumu wao kitu kinaitwa '' Logical thinking'' na wasiishie kupokea simu za wateja na kuleta siasa tu-kupiga domo tu. Yaani mtu anakasirika unapomwelekeza tatizo lako, anaona ni usumbufu eti-haaa!
Vijana wamekalilishwa majibu. Hawafikirii unachowaambia na wajibu inavyotakiwa. Wamekalili majibu tu.
View attachment 874653