[mention]adriz [/mention] bingwa unadaiwa bado bingwa
..!! Sitaki uwe na kisingizio chochote lakini wewe ukishakuwa tayari kufuta uteja let me know sir. Jitahidi usiwe na kisingizio chochote cha kupigwa tena
Mmemekutana vibonde ndio maana mhangaika kufungana , ngoja kesho panapo niwaonyeshe jinsi gani mtu anavyotakiwa ashikishwe adabu hadi asitamani kucheza na mimi tena kama ilivyokuwa kwa @Frustation na wenzanke.