MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 496
- 768
Hivi vitu vipo toka miaka isiyopungua 30 mkuu! Na hivi ni vichache tu. Nyingine watu wanachomwa na wanaliwa viungo vya mwili.Dah sijui ishu ni nini ila hii ni levo ya mwisho ya ukatili alonao binadamu
Unajua hapo nashindwa kuelewa mbaya ni tshekedi au hao wananchi wa congo maana hapo sioni askari wa congoHivi vitu vipo toka miaka isiyopungua 30 mkuu! Na hivi ni vichache tu. Nyingine watu wanachomwa na wanaliwa viungo vya mwili.
Haya. kwa mtindo huu, ulimwengu mzima ukae kimya, na wenye ndugu na marafiki wanaofanyiwa unyama huu, wanyamaze? Serikali na jumuia ya kimataifa, zimeshindwa. ndo maana kila mmoja anafanya anachojisikia
Haya yote yanatokana na uongozi mkuu.Unajua hapo nashindwa kuelewa mbaya ni tshekedi au hao wananchi wa congo maana hapo sioni askari wa congo
Suluhisho ni nchi igawanywe zipatikane nchi huru nneHaya yote yanatokana na uongozi mkuu.
Tshisekedi aliingia kwenye shimo lililochimbwa na watangulizi wake. Mbaya zaidi, aliingia kwa tiketi ya heshima ya baba yake, Etienne Tshisekedi. Rais wa sasa, hana experience na exposure ya siasa wala ya jeshi.
Mikataba ya siri ya viongozi wa Congo, ndo iliyopelekea haya yote.
Miaka ya 1997 kama sikosei, mkuu wa majeshi wa Rwanda, alikuwa ndo mkuu wa majeshi ya Congo. Hili halikuja hivi hivi, hakika kuna mikataba mizito.
Je, siku zote ukiingia mikataba na anaekuzidi nguvu na maarifa, ndo huwa chanzo cha haya.
Hayo yalichangia kuanzisha makundi ya kigaidi na kikabila nchini humo. Mpe siraha raia wa kawaida, mpe hela kidogo, we muagize kuvuruga amani.
Wanasiasa wa zamani wa Rwanda, wana nguvu sana DRC toka enzi hizo. Hao ni wahutu. Mtu kuwa mrefu, kuwa na pua ndefu, otomatikali inamfanya awe mtutsi, hata asipokuwa raia. Mtoto asiejua historia yoyote, mwambie mtu wa hivi na hivi ni adui. Atahakikisha anamsaka na kummaliza.
Wanajeshi, ni level nyingine. Wanajihusisha na ujambazi na uporaji. Maduka, watu wenye uwezo, hayo ya ukabila na vitu vidogo vidogo kama hivyo, ni vya watu wa chini kabisa.
Kwann tunapenda kudandia mamb nusu nusu , hv kwann tunapenda kujudge vibaya bila kujua mtendewa alitenda ninHivi, raia kama hawa, wanahusikaje kwenye siasa? Inakuwaje wanastahili kifo cha fedheha kiasi hiki! Kwa sababu tu wanaitwa watutsi!
Tenda haki ili nawe utendewe haki mf ss hv watu wanapigia makofi watekaji , kesho kijiti kikihama unategemea nin ?Unakata moto unajiona, siasa za Africa jau sana.
Kisa kama hiki na vingine vingi sana kama hivi ndivyo vilipelekea kuibuka kwa M23, Hao watoto wanao fanyiwa unyama huo na Raia wenzao huku Serikali ikiangalia kosa lao ni kuwa walizaliwa wakiwa Watusi ndani ya DRC.
Dah sijui ishu ni nini ila hii ni levo ya mwisho ya ukatili alonao binadamu
Haya yote yanatokana na uongozi mkuu.
Tshisekedi aliingia kwenye shimo lililochimbwa na watangulizi wake. Mbaya zaidi, aliingia kwa tiketi ya heshima ya baba yake, Etienne Tshisekedi. Rais wa sasa, hana experience na exposure ya siasa wala ya jeshi.
Mikataba ya siri ya viongozi wa Congo, ndo iliyopelekea haya yote.
Miaka ya 1997 kama sikosei, mkuu wa majeshi wa Rwanda, alikuwa ndo mkuu wa majeshi ya Congo. Hili halikuja hivi hivi, hakika kuna mikataba mizito.
Je, siku zote ukiingia mikataba na anaekuzidi nguvu na maarifa, ndo huwa chanzo cha haya.
Hayo yalichangia kuanzisha makundi ya kigaidi na kikabila nchini humo. Mpe siraha raia wa kawaida, mpe hela kidogo, we muagize kuvuruga amani.
Wanasiasa wa zamani wa Rwanda, wana nguvu sana DRC toka enzi hizo. Hao ni wahutu. Mtu kuwa mrefu, kuwa na pua ndefu, otomatikali inamfanya awe mtutsi, hata asipokuwa raia. Mtoto asiejua historia yoyote, mwambie mtu wa hivi na hivi ni adui. Atahakikisha anamsaka na kummaliza.
Wanajeshi, ni level nyingine. Wanajihusisha na ujambazi na uporaji. Maduka, watu wenye uwezo, hayo ya ukabila na vitu vidogo vidogo kama hivyo, ni vya watu wa chini kabisa.