Dr. Willbroud Slaa on his TWITTER account today!

Status
Not open for further replies.
ukanda anauleta anaye zungumzia ukanda@ mohammed. acha kupaka watu matope ili wachukie fanya mambo mengine! yani ungejua vitamburisho tunavyo tayari tunasubiri tarehe ya kupiga kura! yani ulie tuu
 

hahahaha! kazi kweli kweli...
Mimi nilitegemea maswali ya msingi...kumbe ni upuuzi huu!
Endelea kusubiri jibu, wakati wengine wanafanya mabadiliko!
 
My friend!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mind you, to everything you may think of, especially when had never excited b4, there is point zero then 1, 2 , 3 ......
Always we should think critically and avoid cheep thinking.

I believe CDM is the only political party that uses brain and the real vision seeing beyond fifty years to come. When is Nyerere going to redeem the Arusha vacant????????????????

Naomba kadi ya chadema tafadhari sana!!!!!!!!.
wapo watanzania wengi sasa wanataka kadi za chadema. Please chadema jitangazeni wapi tutapata kadi zenyu????????.
 
HAKI itatafutwa hadi tone la mwisho la DAMU.hatupo tayari kuvumilia.
 
Akifukuzwa lowasa na chenge ccm km walivyowadanganya watz kidogo watz wataanza kurudisha mawazo yao ccm. .. La sivyo wasubiri maumivu zaidi kutokana na hasira za watz.
 
Sugu anatoka jimbo gani kati ya karatun meru, na moshi? some ppl are not great thinkerz
 
Mie siko tayari...........sasa nini kifanyike malizia kabisa..... tupe way foward

Come on Muganyizi, utapiga kura au? iwe kwenye chaguzu ndogo au uchaguzi mkuu. Yaliyotokea Arumeru M. huyaju? unaniangusha mkuu.
 


Tatizo watu wengine wanaufinyu wa mawazo, sijui chama mpaka kianzie DSM ndo yataona cha Tz nzima,hopeless kabisa
 
Tukichagua Viongozi kwa sababu wana pesa au wametoka koo za watawala hatupat haki POLISI,MAKAMANI na Katika vyombo vya mizani.History inasema Matajiri wote Hulisha MAKOMBO walio chini ya himaya yao.
Tukitambua hilo tutachukia matabaka na kujenga umoja wenye haki sawa kwa kila mtu.tutakula sahani moja badala ya wengine kula vinono na kundi jingine kula MAKOMBO.
Hatetwi mtu angalieni kesi za watawala na watawaliwa zinavyoendeshwa.kuna hukumu zingine zinatolewa bila hata watu kufikishwa mahakama kwa kupigwa bila ushahidi wa utendaji kosa wakati katiba inapiga marufuku mtuhumiwa kutendewa kama mtualiyetiwa hatiani mpaka mizani idhibitishe kuwa anahatia.
Watala wetu hawana woga tena maana wanaamini katika pesa zao na Nguvu ya UMMA wameisahau kuw inashinda pesa.
Shime Watanzania tutumie akili zote kuonyesha pesa na utawala bila PEOPLES POWER ni ANGUKO LA MENDE
Inauma sana...............
 
Ukinywa viroba na valeur lazima uwe na fikra hizi na kuzikazia na ndumu!
 

Nakutuma kawaambie ccm hivi wanazo t actics 2 ambazo majibu yake nimeambatanisha.

1. Mahakama imeamuliwa itengue ili Chadema waende mahakamani na kwa kufanya hivyo mahakama itazungusha kesi hadi 2014 kisha Lema atashinda ila atakuwa na mwaka mmoja wa kufanyakazi hivyo watapata kitu cha kuongea kwenye kampeni za 2015 kuwa Lema alikalia vurugu na kesi tu kipindi chote cha ubunge wake hivyo hajadeliver.

Jibu: chadema hawaendi mahakamani wanakubali ngoma irudiwe ikiwa mbichi. Hapo ndo ccm watajinyea maana wanazikwa huko kaskazini kabisa.

2. chadema wakimrudisha Lema kugombea, ccm wanaweza kuja na hoja mahakamani kuwa hana sifa za kugombea

Jibu: Chadema kazi ni moja ni kuwamaliza ccm, kamanda Lema atakubali kuachia na kurudi kwenye ofisi ya chama Ili kujenga chama. Je wajua ni jembe lipi litasimama badala ya Lema? Chadema lazima itumie silaha zake za mwisho za mapambano ilimradi ccm wafutike kabisa........Dr. Slaa ni lazima atapeperusha bendera ya CDM Arusha na hapo ndipo kitakuwa kilio na kusaga meno !

Chadema wamejipanga ni kazi kwao CCM kuchagua kipi rahisi kwao kwenye hili.

lakini kumbuka pia chadema wanafurahia zaidi kitendo cha leo maana wanaendelea na kazi yao badala ya usumbufu wa kuomba kibali cha mikutano ya kuwaelimisha watanzania..

Kumbuka pia wakati huu masikio ya wanatanzania bado yako Arumeru na yatabaki hapo Arusha wakipata somo.

Hakuna namna yoyote itakayoishinda nguvu ya umma na haki ya mtu haipotei bali inacheleweshwa tu!

Mungu ibariki Chadema,Mungu ibariki Nchi yetu!
 
Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama

Ndio mnavyojidanganya? Tena we mnafiki sana ulikimbilia wapi na mash...g.. wenzio wakati matokeo ya Arumeru yanatangazwa naona ulikuwa kimya kama unamwagiwa.
 

Mwanamume lazima uwe na sifa za kuwa mwanaume. we ulivyofanya uchunguzi umeona nini? Viongozi wa kikanda unamaanisha nini? Mwenyekiti kaskazini, makamu Mpanda wa bara wa visiwani ni Mpemba na jamaa ni mashine. Katibu anajulikana naibu Kigoma utapata hiyo orodha hadi kamati kuu yao. Ukanisa ama ukristu ni baadhi yenu ninyi waislamu mnaoeneza huo ujinga kwa mashaka na hofu mlizonazo na mioyo ya giza. Kwa hiyo ccm ni chama cha waislamu kama cdm ni cha kikiristu maana kamati kuu na halmashauri kuu ya CcM imejaa waislamu. Chadema hawezi kuwa wanajibu kila ujinga wenu ndo maana hata arumeru pamoja na matusi ya kina Lusinde walikaa kimya na mwisho wananchi wamewaadhibu. we kama umetumwa timiza matakwa ya waliokutuma halafu subiri ujila mbuzi wako. sisi wengine chadema ni tegemeo letu
 
Alietengua ubunge wa Lema ndie alisema anaweza kushiriki, atakeweka pingamizi la kushiki basi inabidi atangulize pingamizi la kuvuliwa ubunge. Sioni kama kutakuwa na pingamizi kwani jaji amesema Ruksa though unaweza kuwa mtego labda wanasheria watusaidie hapa
 

Kaka yangu nafikiri unajua kuhusu "Action Speaks Louder than words"waache cdm waproove kupitia hili, pia umejifunza kwa CUF kwamba walikanusha na bado mpaka leo hii watu wanasema ni chama cha kidini. Sasa unataka chadema wafe kwenye njia ile ile walipita cuf wakafa? tena ingawa kuna mambo yalionekana kwamba ni wadini kwa kuangalia na kwa matendo yao mfano mikutano msikitini,safu ya uongozi n.k lakn sio muhimu kwa sasa tumia akili ya kuzaliwa na si kuendeshwa na propaganda za ccm kuita wenziwe wadini katika lala salama ya kifo chake. My Opinion kikubwa ni cdm kuzidi kuelimisha na kutumia peoples power NOT CDM power kukomboa hii nchi. Sasa wewe unaletewa mtu wa kukuongoza kujikomboa kwa kutumia nguvu yako halafu bado unakataa ama unajiuliza mara 2 mbili. Wewe ni woga ama ujeuri unakufanya usijisikie huru
 
Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama

Hizo ni dadili za magonjwa nyemelezi kwenye ubongo wako. Wahi kwenye kituo cha afya ukaanzishiwe RVS.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…