Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Nashindwa kubashiri kabisa.Nimjuavyo Dr.Slaa,ana mengi ya kusema hasa katika mazingira ya Jimbo la Chalinze lisilowahi kuonja upinzani katika uongozi wake. Dr.Slaa atatumia maneno gani na aina gani ya uwasilishaji wa mada zake leo Chalinze? Yaani,sipati picha kwakweli ya leo pale Chalinze.
Na Makamanda wengine nao watasemaje? Itakuwaje? Mlio huko Chalinze,msitunyime uhondo huo tafadhali
Na Makamanda wengine nao watasemaje? Itakuwaje? Mlio huko Chalinze,msitunyime uhondo huo tafadhali