Si unajua watz tena, mtishie kidogo, kisha mlambishe kajiasali kadogo kwisha habari yake! Atacheza kila ngoma utakayompigia. Mimi naamini kuwa kaasali na kakitisho kadogo kameshaminya haki za mamia ya watz. Si nnaijua sirikali yetu!. Uli angejua hisia zetu angeacha mchezo anaofanya. Hapo ujue anatafutiwa cheo na kazi nzuri na kajumba kanajengwa chapchap ndipo atakuja na kudai...ooh mimi ndiyo najua mchezo wote, aliyenidhuru ni yule aliyekamatwa! Nk, subirini tu mtasema nilisema