Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 603
- 340
Akiongea na wananchi wa kijiji cha Ziba Igunga jana.Dr slaa amesema ccm wamepeleka kusudio la kukata rufaa lakini hawajakata rufaa.hii ni
kuwafanya wanaigunga wakose mwakilishi maana wanajua uchaguzi ukirudiwa
watashindwa.Tumegundua njama zao tutaipindua hii mara moja,usalama wa
taifa mliopo hapa pelekeni taarifa hizi. Sasa hivi mambo yetu tunayapeleka kisheria zaidi ndiyo maana natembea na wanasheria wangu alisema.
kuwafanya wanaigunga wakose mwakilishi maana wanajua uchaguzi ukirudiwa
watashindwa.Tumegundua njama zao tutaipindua hii mara moja,usalama wa
taifa mliopo hapa pelekeni taarifa hizi. Sasa hivi mambo yetu tunayapeleka kisheria zaidi ndiyo maana natembea na wanasheria wangu alisema.