Kuna sifa mbili kubwa walizokuwa nazo Nyerere na Sokoine. Walikuwa waadilifu na walikuwa wana wezo wa kufikiri, wachapa kazi. Hizo ndizo sifa za rais tunayemtaka leo. Kuna watu wanamwomba Mungu atupe tena kiongozi kama Nyerere na Sokoine. Ila jibu ni rais, Nyerere na Sokoine tupo nao ila labda hatuwaoni. Dr Slaa ni Sokoine ambaye baadhi ya watu hawaoni. Hata Jesus alipokuwa na watu wake hawakumtambua. Mungu atujalie tuone, tufanye maamuzi sahihi ya kuwaondoa CCM na kuweka watu wazuri kama Dr Slaa na Sitta