Dogo... Unajua mlengo wangu katika siasa? I hate guesswork ila Slaa and chdema walihitaji muda, wajipange ndio wazunguke... Hizi kneejerk reactions are useless, tuliona hata wakati wa zittoBabu yako kakuzalia nani kati ya baba na mamako?? Au unakopi akili za nepi na gaidi mwigulu??
dogo... Unajua mlengo wangu katika siasa? I hate guesswork ila slaa and chdema walihitaji muda, wajipange ndio wazunguke... Hizi kneejerk reactions are useless, tuliona hata wakati wa zitto
haya kopi na hoyo basi we selule
Nashauri apite vijijini please Tumaini Makene
Kachelewa Sana lisu yupo uchi kule slaa akapumzike na wifi yetu mushumbuzi Josephine
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa kesho anaanza ziara ya siku nne Mkoani Singida.Ziara hiyo itaanza tarehe 1-4 mwezi wa 6
Katika ziara hiyo kiongozi huyo anatarajiwa kufuta propaganda chafu zilizofanywa na Katibu Mkuu wa CCM alipokuwa katika ziara maeneo hayo siku chache zilizopita.
Kiongozi huyo anatarajiwa kuanzia ziara yake katika wilaya ya Mkalama jimbo la iramba mashariki siku ya Jumapili.
Jumatatu Dr Slaa atakuwa katika jimbo la Singida Mashariki ambapo mbunge wake ni Tundu Lissu.Anatarajiwa kutembelea Kata za Puma,Ikungi na Mungaa.
Dr Slaa anatarajiwa kuhutubia mikutano mikubwa ya hadhara,kufanya mikutano ya ndani na kupokea mamia ya wanachama wapya.
slaa amechuja
Wakati Chama makini kikiendelea na ziara zake kupitia Katibu mkuu wake na Mwenezi, Wapinzani wanatembea nchi nzima. si lipumba, Mbowe wala Slaa. Namuonea huruma Kinana kwani anakula vumbi jingi huku chama akiachiwa pekee yake.
Dr Slaa ndiye rais wetu ajaye,ni mtu makini,mzalendo,mwenye uwezo wa kuwashughurikia wahujumu uchumi wote! Watz tunamuhitaji Dr Slaa sasa kuliko kipindi chochote ili taifa litoke kwenye huu mkwamo.
pamoja na wengine KUVAA KATAMBUGA ILI KUWADANGANYA wananchi lakini DR SLAA atakwenda kuondoa utapeli wao .
Dr Slaa ndiye rais wetu ajaye,ni mtu makini,mzalendo,mwenye uwezo wa kuwashughurikia wahujumu uchumi wote! Watz tunamuhitaji Dr Slaa sasa kuliko kipindi chochote ili taifa litoke kwenye huu mkwamo.
Mkuu Mungi Hebu mbadilishe huyu atoke kwenye usichana tuanze kumuita mama kijachoMbowe kaenda kuhudhuria harusi ya Joshua Nassari au kukomboa nchi?